Passenger19
JF-Expert Member
- Aug 14, 2021
- 615
- 1,002
Sasa wakubwa wote wakufunge hata top 4 utaingia vipi?Hizi sasa ndio mentality za mashabiki wa Arsenal nnaowajua mimi, hawa jamaa ubingwa wao ni kuingia top4 au kubahatisha kuzifunga big teams.
Duniani kwa Sasa kiukweli kabisa makocha wazuri wamebaki wachache na ambao hawana kazi kwa Sasa...wenzetu kocha anachaguliwa kwa kuangalia factors nyingi sana... especially culture ya klabu...na Arteta suits the best...kuna Interview Edu alifanya akaeleza namna walivyom recruit Arteta then unaona watu walivyo serious....Makocha kama Conte na Mourinho Wana aina ya klabu wanaweza kufundisha lakini sio zenye mtindo kama Arsenal au Barcelona...hata Zizzou pia...ndo maana watu watakaotaka Arteta aondoke watapata wakati mgumu sana hasa kuwashawishi wamiliki wa timu na hata Director of sports EduNakuelewa. Ila tupo pia wale ambao tunamuona huyu dogo bado. Tunafurahi akishinda halafu tukifungwa tunakumbuka "kwanza huyu dogo hatukumtaka..." 😀😀
Labda unachanganya na mechi za mourinho enzi zile 😀😀😀 ila wale watoto wa mama marasta siyo level yetu kabisa hawawezi kutusumbua kwa lolote. Utakuwa uliangalia mechi ukiwa umesinzia 😀😀😀😅Basi ya Chelsea ndo tulishikwa vibaya mno ila ngekewa tu ndo ilitupa sare
Kwani nyie ndiyo mnacheza nao?Westham wakijaribu kupishana na sisi, tutawafanya kitu hakuna.
Tunacheza nao kesho, tutaovalodi kiungo huku havati anawini mipira yote ya juu. Moyes lazima ateme bungo.Kwani nyie ndiyo mnacheza nao?
Westham wakijaribu kupishana na sisi, tutawafanya kitu hakuna.
Unamtisha nani, mashabiki JF au Arteta na first 11 yake?!Kaa kwa kutulia, city tunampigia pale pale Etihad
Achukue Liverpool huyu dogo
Abebe ubingwa kwanza, Kisha aji endee liver au Madrid.Achukue Liverpool huyu dogo
Tukishawapiga nyinginyingi tunatia academy22Raya
4White
2Saliba
6Gabriel
15Kiwior
8Ødegaard
41Rice
29Havertz
7Saka
19Trossard
11Martinelli
Substitutes
1Ramsdale
14Nketiah
17Cédric Soares
20Jorginho
24Nelson
25Elneny
40Bandeira
63Nwaneri
76Walters
Referee:
Craig Pawson
Unaota ukiwa wapi?Tukishawapiga nyinginyingi tunatia academy