999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 875
- 1,629
Kwa kadi nyekundu ya konate, liver asipodondosha points sijui!!
sema ilo jamaa ni beki sio mchezoKwa kadi nyekundu ya konate, liver asipodondosha points sijui!!
Si umeona instant impact ya Trossard?Nyie jamaa mpewe timu mfundishe
Vipi umeona mgoli ule? We need direct approach kama ya Trossard sio yule mzigo havertzTrossard angewaweza kina konate mipira ya juu au..?
With 65 million tungepata a better playerKukosekana kwa jesus arteta amekuwa sahihi kumpanga Kai . Kwa sababu hakuna mchezaji mwingine yoyote angeeeza ku battle na kina Van .. kwenye mipira yote ya juu
Kwenye CF ana LCM?With 65 million tungepata a better player
Old Trafford hakuna giantIn my side naona draw vs City Etihad kwetu ni ushindi sababu bado magiant hawajakutana for example Manchester City anaenda Anfield,Liverpool anaenda Old Trafford so anything can happen
Sasa kwenye hii misimu miwili uliziangalia mechi zote nne? Ile tulishinda 3-2 uliona ilivyokuwa? Haya hizo mbili za sare uliona? Kama tungekuwa serious ile tuliongoza 2 bila na wakaja kusawazisha unaikumbuka? Sasa liverpool ile ndio ufananishe na ya jana?Kwahiyo kwa hii misimu miwili kila Liver akikutana na Arsenal ndo anakuwa na siku mbaya? Huu ni msimu wa pili Liverpool hajapata matokeo ya ushindi dhidi ya Arsenal. Je tuendelee kuamini maneno yako kwamba liver alikuwa na siku mbaya????
Nipo ndugu yangu japo nilikuwa bize nataka kuoaMasingeli usilitelekeze sana hili jukwaa, bila uwepo wako aiseee humu ndani kunakosa hata mvuto kwa kweli, ingawa hua tunakupondea ile kiushabiki lakini unamchango mkubwa sana katika kuleta uhai kwenye majukwaa yote ya sports humu JF.
Usione tabu kuja na kule kwetu unyumbuni ukawapopoe kina 7eggs na Masebene wake.
Naona ndugu yako Sancho anaubonda kwelikweli huko ujerumani.
Kwahiyo hizo zote alikuwa na siku nzuri isipokuwa jana tu? Hapo ndo tukianza kusema ni mamluki ila mnajificha kwa kusema ni Arsenal mnakuwa wakali ila ndani ya nafsi zenu mnajua kabisa kuwa mnazugaSasa kwenye hii misimu miwili uliziangalia mechi zote nne? Ile tulishinda 3-2 uliona ilivyokuwa? Haya hizo mbili za sare uliona? Kama tungekuwa serious ile tuliongoza 2 bila na wakaja kusawazisha unaikumbuka? Sasa liverpool ile ndio ufananishe na ya jana?
Eti na wao kwa akili zao walidhani wanaweza kupishana na sisi. Wenzao wanapaki basi wanabahatisha ushindi, wao eti wanajiona miamba wanatufuata kwetu. Tukawabana kila sekta ila tukazingua umaliziaji.Mtusamehe majurani...hatujakulipizieni zile goli 4 wakuu....kwa minafasi tulokosa walikuwa wanakula kono la nyani Hawa walevi wa Anfield🤠🤠
Nilijua atamiss mechi 3Ni mechi moja
kwahiyo ulitaka tusishinde au? Arsenal ilipofungwa aikuwa na siku mbaya?!Vijana hamjawahi kuziona glorious days za arsenal ndio maana mnafurahia mediocrity. Leo tumeshinda kwasababu liverpool wamekuwa na siku mbaya.
Kama arsenal yetu ile iliyokuwa lethal leo mpaka half time tulipaswa kuwa na goli nne. Liverpool wangekuwa kwenye fomu tungeumizwa leo.
Arsenal ya hatari ni ipi hiyo?! Hata chelsea/Man U ingekua ile ya hatari ingekuwaje?Aisee kwahiyo leo unaona ile ni performance ya kuifurahia. Tumeshinda na hilo ni jambo zuri lakini bado tuko dhaifu sana kwenye kutumia nafasi.
Kama arsenal ingekuwa ile ya hatari sasa hivi tulitakiwa tuwe point 15 tukiongoza ligi. Mnafurahia mediocre team. Bado safari ni ndefu sana.