Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta kaitengeneza timu vizuri sana, pale mbele tu ndio kunahitaji Striker wa kiwango kukamilisha timu.

2H aingie Nketiah game inamuhitaji.

Liva wanaacha gaps sana.
 
Tukijitahidi sare hatuna mentality ya kupambana kushinda mechi hizi muhimu kaka hata baada ya kupata goli tazam wachezaji wamesharidhika

Nafasi kibao tunapoteza, hii timu bana kuna mechi unaona ile spirit ya upambanaji. Nyingine unaona mipango tu bila nguvu.
 
Kocha wa kulaumiwa ndio, sasa Trossard ni wazi ana winning mentality unamuacha bench alafu unaenda muanzisha havertz unatarajia nini?

Arteta is killing the team kwa ujuaji mwingi.
 
Denied penalty and we still did it

Kahesabu on target za liva

Nipo hapa nasubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…