Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimeona taarifa kuwa Arsenal wanatafuta FB, Ben white ni mchezaji mzuri sn lakini binafsi naamini toka zamani Ben white hafit kwenye ile position, Ben white ni CB, kama tukipata fb mzuri km Anorld kwenye ule upande wa RHS kutakuwa na magoli mengi sana, imani yangu ni kama tacticos wengi wa twitter wanavyofikiri, japo wao wanalalamika kwamba Ø aondolewe kwenye that RCM position, na fact yao ni kwamba hawezi ku overlapp hivyo ana limit Saka's potential on that side, mimi pia nakubali kwa principle moja kama utambakiza Ø basi White aondolewe atafutwe mtu anayepiga cross nzuri na km Ø anatoka basi ikitokea white anabaki km Fb hakuna shida.
 

Ww angalau unachambua
 
Odegard akae position gani? Au aondolewe kabisa?

Nketiah huyu dogo ndio untouchable?
 
They hate when a genius speaks about us, when pep talks about Arsenal they say its a mind games! You're a fool and you know nothing, just keep your mouth shut!
 
They hate when a genius speaks about us, when pep talks about Arsenal they say its a mind games! You're a fool and you know nothing, just keep your mouth shut!View attachment 2870881
Nilitaka kuandika vitu Kama hivi anavyosema Pep ile siku nyumbu mmoja ananiquote anasema ARSENAL IS OVERRATED, sijui FALSE HOPERS, nikajiuliza why? with all the good food footy we play anasema The Arsenal is overrated?, nikandua anajudge mpira by final results sio process or performnce km asemavyo Pep, na sababu ni maybe BIASNESS OR LOW THINKING CAPACITY.

Unajua Mpira ni mchezo wa maono, yani kila mtu ana namna anavyouona mpira, inapotokea an average fan unashare the same vision with a great coach or a great tactico wengi husema ooooh unamuiga flani, wala sio hivyo, it's because we share the same ideas, i love pep cuz anafundisha the kind of Football i like, the same to Arteta. Kwa mfano nikisoma vitabu kama pep confidential au My turn ya Johan cruyff naona kuwa siku zote nimekuwa nafikiria this way about football, mfano kuna jamaa yangu yeye huwa haelewi kabisa mpira wa pep au mpira wa pasi nyingi fupifupi, yeye ni conte, Mourinho au Ibenge, ofcourse labda sababu ni shabiki wa chelsea, yeye hana sababu ya anachokitetea, nikagundua kwamba tunatofautiana namna tunavyoangalia mpira, na hivi vitu ni by nature.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…