hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,460
- 27,058
Tutakachowafanya kesho watasimuliaNarudia tena kama ambavyo huwa nawaambia tena....jana mmekutana pipa na mfuniko....naangalia ratiba yenu fixture tatu zijazo ntakwambia matokeo yatakavyokuwa na itakuwa hvyohvyo....Manunu hamna utulivu...hamfanyi build up inavyotakiwa...hamzuii vzuri...kiungo chenu kinapwaya...yaani mna matatizo chungu nzima....ukiniuliza mm Villa Wana wachezaji wasiozidi watatu ambao ndo wazuri...wengine wte ni average....walikuwa wamefikia peak Yao kwa mechi kadhaa na kile walichokionesha jana ndo uwezo wao hauzidi pale.....Sasa mtulie ndugu zetu...nyny bdo wabovu sana kama walivyo wazee wa kupiga watu mangumi Nyukesto....mna timu ya kawaida sana