Pale Anfield kwa matokeo haya mimi nimefurahi sana, ni matokea stahili kabisa,kuna improvement kubwa sana kulinganisha na game ya 2-2 last season na game ya Leo 1-1, siku sio nyingi tutaanza kuchukua point zote 3 pale kwao,
Game ya leo tungekua na Tomiyasu/Timber,Partey na Striker wa maana tungepata ushindi vizuri sana
hata Intervew ya Saka baada ya mechi imejidhiilisha kwa jicho la tatu kua tunaitaj striker wa maana.