verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,172
- 6,312
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwaio kuna watu wanasema Mid yetu iwe ya Onana na Rice?
Huo ni ugaidi ndugu zangu acheni na wengine wapate ahueni tukicheza naoView attachment 2847340
Havertz anaona kama ameclick na ameyapatia maisha huku Arsenal wakati tupo amao bado tunategemea zaidi kwake na hatufurahishwa naye bado 😀Kai Havertz:
"Even after two or three bad games, the coach (Mikel Arteta) came to me and said: ‘Hey, everything is fine, soon something will click and then it will happen.’
And then the moment came." [sky germany via daily cannon]View attachment 2847191
Safi Sana mkuu, we are the gunners [emoji110]Hiki kipindi cha sikukuu, Kanisani wametufundisha “Tusameheane” kwa muktadha huo nimemsamehe mwana Arsenal mwenzangu ambaye tulitofautiana kwa kauli zisizo za kiungwana na kupelekea kum-block.
arsenal2004 sina tena kinyongo na wewe; ila sikulazimisha kuyasahau yaliyopita
Safi Sana kamanda [emoji110]Mkuu mm sina tatizo na ww....habari za kuweka kinyongo huwa sina[emoji1783][emoji1783][emoji1783]....sijawahi kusahau tulivyopelekeshana ndo maana wakati mwingine nikitaka kuku quote kwny baadhi ya Comment zako nakuwa nakumbuka kwmba Mwamba tulisagiana kunguni kwhyo napita kushoto[emoji1783][emoji1783]...ila tuanze upya tupo hmu kwa burudani tu...No need for violence
[emoji817] we are familySafi Sana mate ,moja ya kitu sipend kwenye maisha kugombana na Arsenal fans ,huwa najitahid Sana niepuke Hilo, Arsenal fans Mimi huwa nawachukulia Kama ndugu zangu wa damu kabisa ,
Nimewahi kupitia Hali ngumu sana ,moja nadaiwa Kodi Sina kazi, kuna Arsenal fan akanisaidia kazi kwenye ofisi yake
Nishafikwa na maswaibu acha tu, Mke ameshikwa uchungu na Sina pesa ya hospitali ,Arsenal fan akanisaidia
Nishasaidiwa na Mimi kusaidiana na Arsenal fans katika shida na Raha nyingi ,
Thus why events za kutoa misaada za Arsenal fans huwa sikosi ,na mwaka huu ipo yakuchangia wagonjwa wa moyo
Ukishakuwa mwana Arsenal tayari Kuna DNA ya undugu inajengeka ndani yako
Fatilia hata wachezaji wa Arsenal ,huwa wanalisema hili Sana ,hata wanapokuwa wameondoka .... Mohammed Elneny alielezea Sana hili ,
For me Arsenal Ni part ya maisha sababu imeniunganisha na watu wengi , nikisafiri hata sehemu Kama Sina pakufikia nitamtafuta Arsenal fan maisha yatendelea
Noma Sana mzee, ukajua ukishamuita the Gunner nyongo itapoa tu[emoji1]Mkuu hii inanikumbusha tukio moja mtaani huku. Kuna jamaa mwana gunnerz tulikuwa tunakutana naye banda umiza tuu. Wote mashabiki wa Arsenal. Hatufahamiana kivile kuanzia majina wala nani anaishi wapi. N zile za "Niaje" anajibu "Freshi" maisha yanasonga.
Siku hiyo napita mitaa ya mbelembele, nakuta kuna ugomvo mkubwa unaendelea kipande hiko. Nikasema nisogee kuona kimachoendelea.
Mara namkuta jamaa ndo anataka kuzichapa na jamaa mwingine, na kila majirani "wakigombelezea" jamaa haelewi kabisa.
Basi ikabidi na mimi niingilie kati, jamaa hata simjui. Nikawa naita "Mzee wa gunners" acha bhana, tulia achana naye huyo jamaa. Jamaa naye ananijibu "mzee wa gunnerz" acha nimshikie adabu huyu mduanzi.
M nazidi kumsihi achana naye bhana mzee wa gunnerz. Basi jamaa ikabidi aachane naye na ugomvi ukaishia hapo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1666]Kuna kipindi fan mmoja aliwahi kuniomba msaada, uwezo nilikuwa nao, nilifikiria sana lakini roho ikaogopa kwamba hii inaweza kuwa social engineering natafutwa. Naomba Mungu anisamehe.
[emoji120] together we canKuelekea Tamasha la Mashabiki wa Arsenal Africa hapo April 2024, Arsenal Supporters Club Tanzania inaungana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (Jakaya Kikwete Cardiac Insititute -JKCI) kuchangisha pesa kwa ajili ya kusaidia upasuaji kwa watoto wenye changamoto ya moyo
Ambayo wazazi hawana uwezo wa kumudu gharama hizo.
Pamoja tuungane kuleta mabadilikoView attachment 2847244
ARTETALIBAN [emoji91]Kwaio kuna watu wanasema Mid yetu iwe ya Onana na Rice?
Huo ni ugaidi ndugu zangu acheni na wengine wapate ahueni tukicheza naoView attachment 2847340
Kwasasa Ni yeye tu kashawekewa system nzuri ,Havertz anaona kama ameclick na ameyapatia maisha huku Arsenal wakati tupo amao bado tunategemea zaidi kwake na hatufurahishwa naye bado 😀
Kwasasa Ni yeye tu kashawekewa system nzuri ,
Ødegaard anatokea chini ,Saka anapokea mipira kwenye zone ya RCM, Kai anaingia ndani kushambulia ,so ni yeye Sasa kufunga tu magoli
Na timu ishaanza kuflow
Tulianza taratibu hasa eneo la attacking
Kocha kapata suluhisho ,kambadilishia Øde majukumu
Angalia mechi za Arsenal,mfatilie Øde anapokea mipira kutoka kwenye backline lakin utamkuta pia katikati ,utamkuta pia mbele
Kai ashindwe yeye Sasa kufikisha goli 10 EPL , Goals 3 muhimu UCL
Namuona akipiga G/A 15 ,Hadi Sasa ana 6 G/A. na amechelewa ku click View attachment 2847517
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Safi Sana mate ,moja ya kitu sipend kwenye maisha kugombana na Arsenal fans ,huwa najitahid Sana niepuke Hilo, Arsenal fans Mimi huwa nawachukulia Kama ndugu zangu wa damu kabisa ,
Nimewahi kupitia Hali ngumu sana ,moja nadaiwa Kodi Sina kazi, kuna Arsenal fan akanisaidia kazi kwenye ofisi yake
Nishafikwa na maswaibu acha tu, Mke ameshikwa uchungu na Sina pesa ya hospitali ,Arsenal fan akanisaidia
Nishasaidiwa na Mimi kusaidiana na Arsenal fans katika shida na Raha nyingi ,
Thus why events za kutoa misaada za Arsenal fans huwa sikosi ,na mwaka huu ipo yakuchangia wagonjwa wa moyo
Ukishakuwa mwana Arsenal tayari Kuna DNA ya undugu inajengeka ndani yako
Fatilia hata wachezaji wa Arsenal ,huwa wanalisema hili Sana ,hata wanapokuwa wameondoka .... Mohammed Elneny alielezea Sana hili ,
For me Arsenal Ni part ya maisha sababu imeniunganisha na watu wengi , nikisafiri hata sehemu Kama Sina pakufikia nitamtafuta Arsenal fan maisha yatendelea
Hako kawimbo baada ya lile goli dhidi ya brighton uwanja mzima ulilipuka kwa kuimba ivyo daaah ilikua ni balaa mwanangu, yan hapo kama ni mchezaji unavyojifeel aisee ni zaid ya love mazee."60 million down the drain.
Kai Havertz scores again"
Kawimbo au kapoem kazuri nimekaona reddit. Arsenal fans wanautumia kuwatania chelkenge fans waliokuwa wanawatania arsenal fans kuwa wamechezea 60 million.
Anyway, tusimuona Kai kama bonge la mchezaji labda tunamuangalia Kai kwa standard zetu zisizotimika. Tunataka upgrade ya Xhaka kwenye ile nafasi. Tunataka ubunifu wa Ozil, ukakamavu, uthubutu, usumbufu wa Alexis Sanchez (hata Jesus tunataka afike hapa) na finishing ya Haaland [emoji1787]
Bado hajafikia level ya juu kabisa , ila kwasasa ashindwe yeye Sasa ,kashawekewa mfumo mzuri wakufunga"60 million down the drain.
Kai Havertz scores again"
Kawimbo au kapoem kazuri nimekaona reddit. Arsenal fans wanautumia kuwatania chelkenge fans waliokuwa wanawatania arsenal fans kuwa wamechezea 60 million.
Anyway, tusimuona Kai kama bonge la mchezaji labda tunamuangalia Kai kwa standard zetu zisizotimika. Tunataka upgrade ya Xhaka kwenye ile nafasi. Tunataka ubunifu wa Ozil, ukakamavu, uthubutu, usumbufu wa Alexis Sanchez (hata Jesus tunataka afike hapa) na finishing ya Haaland [emoji1787]