Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Kuna kipindi fan mmoja aliwahi kuniomba msaada, uwezo nilikuwa nao, nilifikiria sana lakini roho ikaogopa kwamba hii inaweza kuwa social engineering natafutwa. Naomba Mungu anisamehe.
 
Havertz anaona kama ameclick na ameyapatia maisha huku Arsenal wakati tupo amao bado tunategemea zaidi kwake na hatufurahishwa naye bado 😀
 
Safi Sana kamanda
 
we are family
#COYG
 
Noma Sana mzee, ukajua ukishamuita the Gunner nyongo itapoa tu
 
together we can
 
Havertz anaona kama ameclick na ameyapatia maisha huku Arsenal wakati tupo amao bado tunategemea zaidi kwake na hatufurahishwa naye bado 😀
Kwasasa Ni yeye tu kashawekewa system nzuri ,

Ødegaard anatokea chini ,Saka anapokea mipira kwenye zone ya RCM, Kai anaingia ndani kushambulia ,so ni yeye Sasa kufunga tu magoli

Na timu ishaanza kuflow

Tulianza taratibu hasa eneo la attacking

Kocha kapata suluhisho ,kambadilishia Øde majukumu

Angalia mechi za Arsenal,mfatilie Øde anapokea mipira kutoka kwenye backline lakin utamkuta pia katikati ,utamkuta pia mbele

Kai ashindwe yeye Sasa kufikisha goli 10 EPL , Goals 3 muhimu UCL

Namuona akipiga G/A 15 ,Hadi Sasa ana 6 G/A. na amechelewa ku click
 

"60 million down the drain.
Kai Havertz scores again"

Kawimbo au kapoem kazuri nimekaona reddit. Arsenal fans wanautumia kuwatania chelkenge fans waliokuwa wanawatania arsenal fans kuwa wamechezea 60 million.

Anyway, tusimuona Kai kama bonge la mchezaji labda tunamuangalia Kai kwa standard zetu zisizotimika. Tunataka upgrade ya Xhaka kwenye ile nafasi. Tunataka ubunifu wa Ozil, ukakamavu, uthubutu, usumbufu wa Alexis Sanchez (hata Jesus tunataka afike hapa) na finishing ya Haaland 🤣
 
 
Hako kawimbo baada ya lile goli dhidi ya brighton uwanja mzima ulilipuka kwa kuimba ivyo daaah ilikua ni balaa mwanangu, yan hapo kama ni mchezaji unavyojifeel aisee ni zaid ya love mazee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…