Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tupo palee

Ajabu hivi vitisho unakuja kuwatambishia Arse8

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupo palee

Ajabu hivi vitisho unakuja kuwatambishia Arse8

Sent using Jamii Forums mobile app
hawa nyau ndio wanyonge wetu, tusipo zitambia hizi Kima tutamtambia nani?
Ila na nyie livapunda kuweni na utu basi, kwani mkitufunga 1-0 au 2-0 mtapungukiwa kitu gani?
Kama points ni zilezile 3 tu, kumfunga Man utd goli 7 ni kujitafutia laana za bure tu halafu mwisho wa msimu hata top4 mnashindwa kutoboa.
Goli 7 zinaweza mfanya hata mtoto mdogo aonekane mzee, kamwe siwezi kuisahau sura ya rashidi ilivyokua baada ya kile kipigo cha mbwa koko.
 
Naona mmekuja kutafuta huruma kwa arsenyani 😂
Wanawafariji eti pangeni mabeki tu


Hakuna picha hamtaona mwaka huu🤣🤣🤣

Vipi Rashid Mpemba naye atakuwepo?🤣
 

Attachments

  • 20230305_232525.jpg
    71.3 KB · Views: 6
Naona mmekuja kutafuta huruma kwa arsenyani

Wanawafariji eti pangeni mabeki tu


Hakuna picha hamtaona mwaka huu


Vipi Rashid Mpemba naye atakuwepo?
hawa kima eti leo wajifanya kutuombea tumgonge au hata tusuluhu na nyinyi ili gape lao na nyinyi lipungue.
Kikubwa mpaka sisi mashabiki wa Utd kesho tunawaombea Liverpool na Brighton wote wapate points3.
 
hawa kima eti leo wajifanya kutuombea tumgonge au hata tusuluhu na nyinyi ili gape lao na nyinyi lipungue.
Kikubwa mpaka sisi mashabiki wa Utd kesho tunawaombea Liverpool na Brighton wote wapate points3.
Nashangaa huu Upendo arsenyeto wameutoa wapi 😂😂😂😂😂

Kipigo kipo palepale 🤣
7 itapendeza

Tofauti ya msimu Jana na huu,
Tutawaruhusu mtufunge bao hata moja angalau msitie huruma.
Magoli 7 kwa nunge ni unyama wa hali ya juu sana.
 

Attachments

  • JamiiForums-1056467408.jpeg
    14.4 KB · Views: 8
hawa kima eti leo wajifanya kutuombea tumgonge au hata tusuluhu na nyinyi ili gape lao na nyinyi lipungue.
Kikubwa mpaka sisi mashabiki wa Utd kesho tunawaombea Liverpool na Brighton wote wapate points3.
Acha roho mbaya mkuu. Piga hiyo livapunda, mimi nichinje hizi njiwa bahari (seagulls) niketi zangu pale juu kileleni ninapostahili.
 
wewe ndo wakuwatisha Liver kiasi hiki
 
hawa kima eti leo wajifanya kutuombea tumgonge au hata tusuluhu na nyinyi ili gape lao na nyinyi lipungue.
Kikubwa mpaka sisi mashabiki wa Utd kesho tunawaombea Liverpool na Brighton wote wapate points3.
Mkuu dalili za kuwa mchawi ukiwa Babu huwa zinaanza hivihivi🤠🤠....hzo ndo dalili za mwanzo kabisa....unaacha kihangaika na ya kwenu tena unaombea kabisa mfungwe eti na sisi tufungwe pia....utaratibu ni uleule huwa hatufungwi mechi 2 mfululizo...hlo suala kwetu halipo
 
Acha roho mbaya mkuu. Piga hiyo livapunda, mimi nichinje hizi njiwa bahari (seagulls) niketi zangu pale juu kileleni ninapostahili.
ukiachana na tulivyombahatisha 2-1 msimu ulioisha kwenye round ya kwanza hivi unajua mara ya mwisho man utd kumfunga livapunda ilikua ni mwaka gani?
Nakukumbusha tu kipindi hicho Diamond alikua bado yupo kigoma anauza kahawa hata mawazo ya kuja Dar alikua hana.
Kwa taarifa yako hii siku waliyopiga hii picha ya pamoja Esma, Rommy jones na chibu ndio ilikua mara ya mwisho utd kumfunga livefool.
 
wewe ndo wakuwatisha Liver kiasi hiki
Hio ndio mikwara yetu kina MANdoga.
Tukishinda kama tumeshinda na tukishindwa kama tumeshinda, kwenye football hakuna raha kama kuwa shabiki wa Manchester.
Siku hizi kuna Man Utd ya kabla ya mechi na Man utd baada ya mechi.
 
navyomkubali Ten hug kesho lazima awatulize mashabiki na bodi nzima ya Nyumbu
 
mimi furaha yangu kubwa ni kuona tu Arsenyau wanateseka haijalishi timu yangu inapitia kwenye kipindi gani.
Kesho kina Mitoma, Joao Pedro, Gilmour na Le captain Grob wasipomlambisha Arsenyau mchuzi niulizwe mimi.
De zebri amesema kesho anataka amfundishe Mateka maana ya pressing na overloading.
 
Arse8 toka lini wakawapenda nyumbu
Ni mtego huo
 
Arse8 toka lini wakawapenda nyumbu
Ni mtego huo
sisi mashabiki wa Utd mbona tulisha wastukia mapema sana tu, kama msimu ulioisha jinsi tulivyo simama na mliMancity msimu huu tutasimama na livapunda mpaka tuhakikishe Arsenyau anatoka mikono mitupu.
Miaka 20 bila Epl, miaka 1000 bila ya kombe lolote la Uefa halafu na wao eti wajiita maGiant
 
Wajaa laana hawa heri mmewastukia

Na mwaka huu pia ni wasindikizaji wasio na tiketi.
Kikosi Cha wahuni, labda wabebe vikombe vya chai


Kila siku wanashinda kuwatukana kwenye uzi wenu
Halafu leo eti wanawashauri namna ya kupanga Kikosi
 
kwa umoja wetu mashabiki wote wa Epl tunatakiwa tuwe humu tunawapiga spana 24/7 hawa wajaa laana.
Kwanza hii sio timu ni kikundi tu cha wauza karanga.
 
kwa umoja wetu mashabiki wote wa Epl tunatakiwa tuwe humu tunawapiga spana 24/7 hawa wajaa laana.
Kwanza hii sio timu ni kikundi tu cha wauza karanga.
Hawa wapiga baruti bhana

Timu gani haina kikombe chochote miaka nenda miaka rudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…