hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,400
- 26,957
Grupu jepesi Sana lile , PSG,AC MILAN wapo hoi bin taaban, BVB kule Bundesliga wanajipigia tuLile group nakuhakikishia tungekuwepo sisi ambao wangetusumbua kidogo ni Dortmund....yaani tungemaliza na point 13+ safi kabisa....hakuna ambaye angekuja Emirates akapata hata sare...lakini hii mitutusa Nyukesto imedundwa mechi 2 palepale Nyumbani kwao....wanachojua wao ni kufanya vurugu tu uwanjani sio kucheza mpira....Sasa kwa style hyo huwezi kufanikiwa
Halafu mtu anakwambia eti kundi la kifo
UCL timu nyingi zimebaki majina
Naungana na zege la nyasi ,Mikel aongeze beki wa Kati mwenye uwezo wakucheza pemben na kiungo mmoja anayeweza kucheza LCM na DM, mrefu pande la mtu
UCL Kama nilivyosema ,timu nyingi Ni dhaifu
Sarri kocha wa Lazio kasema yeye anataka mterezo na kaomba mapema apewe Barcelona
Lazio manager Maurizio Sarri:
“I’d like to face Barcelona at UCL round of 16, honestly”.
Ninachoomba Mancity wanitolee ,Hawa wengine watanieleza vzr
Why mancity ,sipend kucheza na timu inayotaka na yenyewe imiliki mpira ,mechi mbili za mwaka huu zote zimeenda Kama 50/50
Lakini Hawa wengine watake wasitake watapakishwa basi kilazima
TUKUTANE WEMBLEY MWEZI MAY