Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii takwimu sijui kama imebadilika ila Arsenal ndiyo timu inayoongoza kwa magoli ya kona ila defense yetu against set pieces iko questionable mno kwa sasa
 
Hii takwimu sijui kama imebadilika ila Arsenal ndiyo timu inayoongoza kwa magoli ya kona ila defense yetu against set pieces iko questionable mno kwa sasa
Last season tulienda muda mrefu sana bila kupigwa kwa set piece, iwe kona ama freekick. Then tukapigwa kona moja na ghafla ikawa kama mafuriko tukaanza kupigwa hovyo kwenye set pieces. Na imeendelea. Jover aanze kazi upya.
 
PSG wana kazi. Wamepoteza chances kadhaa. 1-1. Huku Newcastle wanaongoza 1-0. Michezo yA leo ilivyo , naona kama Newcastle wanastahili kuliko PSG
 
Newcastle wasiposhinda mechi yao ni wao hawajataka. Sijaona midfield ya kichovu na wasteful kama ya milan.
 
Newcastle wasiposhinda mechi yao ni wao hawajataka. Sijaona midfield ya kichovu na wasteful kama ya milan.
Kesho ukiongea na yule kibaraka wa Nyukesto mwambie tukiyomtabiria yte yametokea....tulimwambia Dortmund na PSG ndo watapita na wameshapita...na tulimwambia hafikishi point 9 na hazijafika kwli🤠🤠🤠...ukishakuwa na kikundi cha wafanya Fujo uwanjani usitegemee kupata matokeo chanya siku yyte....
 
Meneja wa PSV Peter Bosz aliyemuibua Kai Havertz ,Bayer Leverkusen:


“Nilipofika Leverkusen alicheza kama winga wa kulia lakini nilimwona kama kiungo mkabaji.

"Kwa hivyo nilimweka katika mfumo,karibu zaidi au kidogo, na kiungo mkabaji mmoja au na viungo wakabaji wawili, [Julian] Brandt . Na alicheza bora huko.

“Mwishowe nilimweka kama nambari 9. Rudi Voller hakukubaliana nami lakini nadhani anaweza kucheza huko pia, ndivyo alivyofanya Chelsea.

"Sasa anacheza zaidi tena kama kiungo pemben ya mkabaji.

Anaweza kucheza nafasi hizo lakini pia anaweza kucheza pembeni.

"Hiyo ina maana kwamba yeye ni mchezaji mwenye akili sana, kiufundi pia kwa mchezaji mrefu kama yeye, anaweza kufunga mabao,anaweza kucheza zaidi ya nafasi moja . Lakini ninaamini anapocheza sasa ndio nafasi yake bora zaidi.”
 
Kesho ukiongea na yule kibaraka wa Nyukesto mwambie tukiyomtabiria yte yametokea....tulimwambia Dortmund na PSG ndo watapita na wameshapita...na tulimwambia hafikishi point 9 na hazijafika kwli🤠🤠🤠...ukishakuwa na kikundi
Tutampa tu pole. Walikuwa na nafasi nzuri ya kushinda ila hawakuitumia. Ni vizuri pia wametoka huku wapunguze takataka champions league. Pia ni vizuri wameburuza mkia maana waliambiwa itakuwa hivyo. Wamekaa miongo bila champions league hivyo inapendeza kuona wameburuza mkia wasijipe false hopes kuwa nao wanauwwza muziki wa huku champions league.
 
Eliminating Manchester Utd and Newcastle Utd in the UCL group stage will allow Arsenal to gain additional prize money from the market pool
.


The further the Gunners go in the competition, the more they will earn. ManCity's potential knockout stage defeat will be an added bonus.
 
Henry 14 umeona hii ,
 
Kitendo Cha Man u na Newcastle kuburuza mkia kinafanya nafasi ya Ligi ya Uingereza kupata nafasi ya kupeleka nafasi ya 5 UCL ipotee ,Sasa inabaki kwa Germany na Italy


Only top 2 get a 5th place in UCL

1. Germany, 13.36
2. Italy, 13.14
3. England, 12.13
4. Spain, 12.06
5. France, 10.42

Manjesta na Nyukasto mmeitia aibu Ligi ya malkia
 
BAD NEWS

Joshua Mollel, a 21-year-old Tanzanian student, was abducted by Hamas terrorists in Nir-Oz on October 7th.

His family has been informed that he was killed by Hamas during his captivity. Joshua, an Arsenal fan, will be remembered, and may his memory be honored.
 
Hizi ndio timu zilizofuzu hatua ya 16 bora kwenye michuano ya klabu bingwa Ulaya 2023/24.

Walioongoza Makundi
Bayern
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Arsenal
Real Madrid
Real Sociedad
Atlético
Dortmund
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man City
Barcelona

Waliomaliza nafasi ya pili katika Makundi
Copenhagen
PSV
Napoli
Inter
Lazio
PSG
RB Leipzig
Porto

Walioburuza Mkia

1.Manjesta
2.Nyukasto
 
Likes zinalevya.

Anaandika utumbo na uongo day in day out matokeo yakija hamumuoni wiki
 
Anyway, Labyrinth 84 nilikuambia uanzishe uzi ili tujue tunakupata wapi ukagoma.

Uache kuishi kama Yahaya we mwanapropaganda.
Niliamuambia kipindi kile nafasi walioipata ya kucheza UEFA msimu huu hawatakaa waipate tena mpk baada ya miaka 20🤠🤠🤠...Sasa ntakuwa namkumbusha Kila msimu kudadeki....Hivi kwli kabisa Gordon na Almiron wakupeleke hatua ya 16 Bora kwli,???....Zile zilikuwa dharau🤨🤨
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…