Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kipa wa Arsenal, Raya amesababisha magoli mawili, sawasawa na mchezaji mzoefu kuliko wote nyukesto Trippier.

Beki mzoefu mwenye assists nyingi kuliko mchezaji yoyote wa arsenal pia hilo mbona huliweki.

Anyway hivi pale st james mlishinda ngap?
mnajificha kwenye mgongo wa Tottenham naona ila mnasahau ubabe tuliowaonyesha pale st james.

Naona unakesha ili PSG ashinde maana aki draw tu tupo 16 mpaka quater final huko or hata tukienda europa tutabeba so sisi lolote sawa tu .

Maana 16 bora ndo hatua yenu kubwa zaidi UEFA mlichojitahidi tu ni kumaliza nafasi ya kwanza makundi baada ya miaka zaidi ya 15
 
Ana assists 7.

Kijana mdogo Saka ana assists 6.
 
Huijui Arsenal.

Rival wa Arsenal ni Spurs, hata angekufunga 100 shabiki wa Arsenal siruhusiwi kushangilia ndiyo maana unaona siitaji hiyo timu kukufunga.

Kihistoria tangu nyukesto mkutane na Arsenal mechi mlizoshinda hazizidi nne. Nyukesto ni punje ya mpunga mbele ya Arsenal.
 
Hebu nipe idadi ya hao majeruhi na nipe data kwmba kabla hawakuumia hawa watu timu ilikuwa nafasi ipi..tuone impact ya kuumia kwao🤠🤠🤠...unaishi kijanjajanja sana
 
Vingine tutumie akili, henry kauzwa lini alikuwa na umri gani, mkataba wake ulikuwa ukoje, situation ya kuondoka ilikuwa ipi!?
Unajua gaucho alinunuliwa kiasi gani je kafikia cha gordon!? Zidane madrid walitoa kiasi gani!?

Fabregas aliuzwa kiasi gani na katika situation ipi", kuna vingi vinaamua bei ya mchezaji.

Soko la wachezaji lishaharibika kwa sasa.
 
PSV manager Peter Bosz on Kai Havertz (they worked together at Bayer Leverkusen):

"You don’t need to be a scientist in football to see this was a big, big talent. Absolutely. He is really a modest guy... An outstanding, outstanding player." #AFC
 
Huyu utakuta humu akifunga unaambiwa ana finishing nzuriii
Shida yake ni hicho tu ndicho anacho. Vingine ni dhaifu kidogo.
Jana Michael Owen alisema jamaa ana finishing nzuri pia. Kwa hiyo siyo humu tu anakubalika kwa finishing, bali hata kwa mwana Newcastle mwenzako Michael Owen.
 
Yani hawa kondoo akili zao bhana, eti wanadanganyana eti marefa wana njama juu yao,kwamba wana timu bora sana au?! hivi nani kawaroga hawa watu.
Jumapili ifike tu Sheffield afanye yake pale darajani tafadhali.
 
Shida yake ni hicho tu ndicho anacho. Vingine ni dhaifu kidogo.
Jana Michael Owen alisema jamaa ana finishing nzuri pia. Kwa hiyo siyo humu tu anakubalika kwa finishing, bali hata kwa mwana Newcastle mwenzako Michael Owen.
oyaaa HENRY14 nyumbu mpaka muda huu bado zimelala sijui kwa raha gani haswa walizonazo, mchukue ndugu yako Masingeli muende mkaziamshe ziende jikoni kupika uji.
 
oyaaa HENRY14 nyumbu mpaka muda huu bado zimelala sijui kwa raha gani haswa walizonazo, mchukue ndugu yako Masingeli muende mkaziamshe ziende jikoni kupika uji. View attachment 2841196
Nimepata habari kutoka chanzo cha kuaminika kwamba mnaenda kucheza Conference league maana UEFA wamesema kuikosa Manunu kwny mashindano ya Ulaya kqbisq kutqshusha sana mapato...hongereni majirani
 
Nimepata habari kutoka chanzo cha kuaminika kwamba mnaenda kucheza Conference league maana UEFA wamesema kuikosa Manunu kwny mashindano ya Ulaya kqbisq kutqshusha sana mapato...hongereni majirani
Waambie wasituchoshe sasa hivi tunahitaji tupumzishe fuvu.
 
oyaaa HENRY14 nyumbu mpaka muda huu bado zimelala sijui kwa raha gani haswa walizonazo, mchukue ndugu yako Masingeli muende mkaziamshe ziende jikoni kupika uji. View attachment 2841196
Kama unamaanisha hamis77 basi nakuhakikishia atakuwa alishafika kule unyumbuni kitambo sana. Sitashangaa kama alikesha kule na saivi anapiga mo energy huku akiendelea kuwapiga spana
 
Mpige spana huyo current Gunner anayejiita former Gunner kinafki . Mara mia angehamia liverkuku kuliko hao mijusi mistari. Angekuwa liverkuku saivi angekuwa anasubiria kuja kujipigia nyumbu bao za kutosha. Sasa kampiga Sheffield 8 anajiona anajuuuuaaaa boli.

Sijafanya statistics tangu PCM ya form six ila nikichora kigraph cha trend ya mechi zao hawa mijusi tangu season ianze, je curve itakuwa inaelekea juu ama inashuka chini?
Je hiyo graph inaweza kutuambia nini, hasa kama nje ya nyumbani wakijitahidi sana ni droo tu ndiyo wanapata? Je unahisi ndani ya mechi chache zijazo hawa mijusi watakuwa na hali gani?

 
Huyo jamaa anaejifanya ni mshabiki wa Newcastle nilisham-ignore zamani sana.. Thanks to Jf kwa hii option sasa hivi sioni tena comments zake za utumbo.
Siku hizi amerelax kidogo baada ya hasira kupungua na kulegeza moyo wake juu ya Arsenal. Niamini nakuambia jamaa anarudi mdogo mdogo Ze Ganaz. Ila mwanzoni wakati anahamia kwa mijusi kwa sababu tumekosa ubingwa...aisee alikuwa negative balaa na bonge la kero. Tunaishi naye tu kiushabiki ila kimaisha ya kawaida, watu negative wanaboa sana na wanapaswa kuepukwa kiafya. Ni tofauti sana kulumbana na kina Flano na Mkohoti kiutani wa kishabiki na kulumbana na Gunner mwenzio mwenye jeraha moyoni. Bahati nzuri Forgotten hajafikia kiwango cha huyu mwamba kwa kule Unyumbuni 🤣
 
Timu zenye clean sheet kwa EPL Arsenal ni ya kwanza.

Ujue mashabiki wa Arsenal hatufuatilii hivi vitu vidogo vidogo kwakua sisi picha kubwa tuliyonayo ni kushinda na makombe tu.

Sasa timu ndogo hazina uhakika na makombe inabidi wafocus na takwimu zisizo na mchango kwenye safari.

Tafuta defense ngumu kuliko zote kwenye mpira kwa sasa, Arsenal hauikosi, lethal team away na home Arsenal hauikosi. Angalia GD yetu, angalia team play statistics.

Sasa hizo zote tupo vizuri isipokua hua hatuzifuatilii kama kipindi kile cha Emery
 
Zote hizo tunatakiwa kuboresha. Najiuliza solidity kwenye set pieces imeenda wapi? Kuna game tungeshinda, kama Fulham 2-2, kama tungejilinda vizuri kwenye kona. Luton alipata magoli mawili ya kona. Tulishinda game 3-4 ila tungewapiga hata 1-3 au 1-4, tungekuwa na GD sawa na kina Liverkuku. Tusingepigwa goli la mchongo Mijusi, tungekuwa tunaongoza GD....
Anyway, wanasemaga "Hindsight is 20/20" ila tunapaswa kuimarika kila idara. Magoli ya kufungwa lazima yapungue, ya kufunga lazima yaongezeke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…