Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,143
Masingeli analinajisi sana hili jukwaa kwa kuwalisha false hopes mashabiki wa Asenyo humu akisaidiana na chawa wake watiifu mkorea na arsenal2004 halafu mbaya zaidi Masingeli ana kinga ya turufu yaani humu ndani hata akidanganya ni dhambi kumkosoa.
muda huu Masingeli analichungulia hili jukwaa hiviView attachment 2838082
Hawa Kenge wataokota point tatu kwa crystal palace au Fulham Tu ,nazo kwa papatu papatu sana .hii fixtures yenu ya December imekaa utamu sana, hapa mpaka January inaingia hili jukwaa litakua limejaa matusi. View attachment 2838118
Unaongea ukiwa serious au unatania mkuu 🤠🤠🤠...hii timu Ina mashabiki wa rangi mbili kwli...mechi ya jana tyri imekutoa kabisa kwny reli...halafu tembo akipanda juu ya tawi tena muanze kusema ubingwa ni wetu....ajabu kwakwli....tungefungwa na kuona hatuna mpira wa kutafuta kitu tunacheza ningekaa kimya ila point moja umepitwa tyri umekata tamaa🤠🤠🤠...mkuu unaweza kwnda kujiunga na yule wa Nyukesto kama vpNaanza kuamini inawezekana sisi ni False hoper kwa kweli
Tuna mistake zinazojirudia season to season match to match
How come we fail to score today
Worst fan base ever 😂Unaongea ukiwa serious au unatania mkuu 🤠🤠🤠...hii timu Ina mashabiki wa rangi mbili kwli...mechi ya jana tyri imekutoa kabisa kwny reli...halafu tembo akipanda juu ya tawi tena muanze kusema ubingwa ni wetu....ajabu kwakwli....tungefungwa na kuona hatuna mpira wa kutafuta kitu tunacheza ningekaa kimya ila point moja umepitwa tyri umekata tamaa🤠🤠🤠...mkuu unaweza kwnda kujiunga na yule wa Nyukesto kama vp
Arsenal na andazi.
Ubingwa sio ku overload, playing style, aerial duel won wala takataka mnazodadili humu kila siku.
HOPELESS FC
Unaongea ukiwa serious au unatania mkuu...hii timu Ina mashabiki wa rangi mbili kwli...mechi ya jana tyri imekutoa kabisa kwny reli...halafu tembo akipanda juu ya tawi tena muanze kusema ubingwa ni wetu....ajabu kwakwli....tungefungwa na kuona hatuna mpira wa kutafuta kitu tunacheza ningekaa kimya ila point moja umepitwa tyri umekata tamaa...mkuu unaweza kwnda kujiunga na yule wa Nyukesto kama vp
Kuna mmoja saa moja na nusu ndo utakuwa muda wake wa mwsho kuonekana humu maana atakuwa tyri kashakung'utwa za kutosha na Son...kwhyo wachq watambe hmu sisi tunasubiri baadae🤠🤠🤠Tunata kuongelea soka Sasa
Mmeshamaliza kututukana na kejeli ?