Sio Kwa ubaya Arsenal anapoteza mechi key player wakiwepo,lakini city kapoteza mechi ambazo Rodri alikuwa suspended ,kiufupi mpaka Sasa hakuna team ya kuifunga city Rodri akiwa ndani,ufunguo wa pep ni Rodri ,kiufupi ubingwa kuuchukuwa Kwa kipara ni ngumu .