Ni kuwasagia kunguni mpaka wahame humu , imagine hawa wahuni wanajiita mabingwa wa epl
Itakuwa kituko cha karne wahuni kama hawa kubeba title kubwa kama epl
Vikojozi asenyeto mmekuwa na kidomo domo sana baada ya ushindi wa papatu papatu mechi mbili tatu hivi zilizopita ,nawakumbusha tu hii ni Epl
Take care ,ninyi ni wasindikizaji tu
Msijipe umiliki wa title ambao hamna