Iko hivi
Wachezaji na kocha wa sasa wa nyukesto wameifikisha kuweza kuifanya hadi mashabiki waache timu zao na kuifuata.
Sasa hivi wanahitaji wachezaji na kocha wa kuhakikisha hawa mashabiki wapya hawaondoki.
Nilivyomwambia hivi
Labyrinth 84 akahisi namdhihaki hajui kwamba huo ndiyo mchakato unavyotakiwa kua. Howe na wale waliopo watakaza miguu kwa Arsenal first leg kisha atafungwa na Bournemouth na Everton, kisha second leg Arsenal atajipigia inakua ni mambo ya mid table team