Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jana ngapingapi mkuu 🤠🤠🤠....
 
Another false hope . Mshakua mabingwa nini wanetu
.
Everybody know arsenal will never win any title msimu huu even arteta anajua sema ndo ivyo tu ubishi wenu .
Mafanikio yenu pekee ni kwamba hampo kwenye hatari ya kushuka daraja. Fan base yenu inajisifia hilo. This is your only dream

Naamini unajua kiingereza
 
Halafu kichekesho ni kwamba huyu mtu timu ya kwanza kuitaja ni Arsenal. Naamini unajua kiingereza
View attachment 2836902

Umetajwa kwasababu umefungwa sasa ulitaka ataje timu ambazo hajazifunga ama? Hizo timu zote alizotaja tumezipiga.

Kipi kinakufanya uone kama huyo jamaa ni mzungu
. Any Newcastle fan anaelewa kwamba game ya jana ni tulikosa chances nyungi na hizo mistakes mbili za trippier na tumezikubali kiroho safi
 
Watoto wenzako watakunyoosha hadi uanze kutumia akili mburu kabisa
Atakwambia tuna Isak...sijui tuna godauni...sijui mara Livramento...njoo kene matokeo Sasa...tatu bila shehe🤠🤠🤠...nazitaja hapa mechi atakazodundwa mzunguko wa pili...dhidi ya Liverpool...sisi ndo tutawabemenda kabisaaa...na Manunu...Chelsea hii ya vibogoyo itawabamiza....na Brentford bdo na kipara Pep naye atakuja kufunga hesabu....yaani Hawa wakijitahidi wanamaliza wa nane huko chinichini kwa kina Fulham
 
Another false hope . Mshakua mabingwa nini wanetu
.
Everybody know arsenal will never win any title msimu huu even arteta anajua sema ndo ivyo tu ubishi wenu .
Tunaweza tukawa karibu zaidi yenu lakini. Kuna wengine humu hawataki urudi. Ila mimi nasema "once a gunner..." so ukirudi, na utarudi...tutakupokea tu.
 
Chances nyingi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Naona arsenal kuna umuhim wa kufikiria Tisa na beki matata kwa january kwasababu Kai ashanza Rudi Kwa form, maana hatuwezi kumsubir timber,saliba akiumia itakuwa majanga,jesus akiumia forward ishakuwa butu
 

Sasa unamtaja isak tena huoni aibu mkuu. Hio arsenal nzima hakuna mchezaji kama isak kama unabisha tuweke statistics hapa .

Huyo wilson mwenyewe alicheza dakika chache kuzidi jesus kamzidi mbaliii na pale Newcastle ni second striker sio main striker.

Kitu pekee unachoweza kupiga kelele nacho ni kukaa nafasi isiyo yako hapo juu.

Unapoongelea wachezaji wa Newcastle unaongelea best players nan anamweka trippier nje pale arsenal, nan anamweka bruno nje pale arsenal? Nan anamweka isak nje pale arsenal? Nan anamweka pope nje pale arsenal?
 
Sasa hapa unacheka nini mkuu , Newcastle kapata chance 4 ambazo zote ni big chance na kazikosa zotee yaani unaleta statistics ambazo zinakupinga mwenywe
una 4 na mwenzako ana 3 😂😂😂😂😂
 

Nakupa na hii ambayo huijuiii tuchukue statistics za misimu 4 iliyopita kati ya jesus na wilson uone mwenywe tu



Usilete comparison za players utaumia sana au unaona man city kumuuza jesus walikosea ? Wanajua kabisa hamna kazi pale .

Mchezaji kazidiwa magoli zaidi ya misimu 4 halafu unataka tulete comparison
huyo jesus kwenu ndo main striker huku Newcastle wilson ni backup striker
 
Sasa mbona haiongozi ligi mkuu,matokeo ni timu na hakunaga team ya mtu mmoja, mtu hawez Yuko kitandani hoi ukatoa ini lake ukasema ni zima utakuwa huna akili,na kuongoza ligi hakunaga kubahatisha na kama kipo basi kila team ina nafasi hiyo,katika msimu huu kuna kipindi arsenal imecheza bila odergad,hata bila saka,hasta bila martinel,hata bila jesus na wengine wengine wengi ivi vyote vina impact kwenye team na kwa mchezaji husika,lakin pamoja na hayo team inaongoza league unaleta masiasa yako ya kwenye majimbi uko
 
Sasa best 11 unataja wachezaji wa4
 
Watakimbilia kwa de gea.
 
Lete takwimu ndani ya misimu minne Arsenal na Nyukesto timu gani imefunga magoli mengi basi
 

Wewe ndo hata sijuiii unaongea nini
kipindi kipi icho arsenal imecheza bila saka sijuii odergard sijuii martineli .
Newcastle ina zaidi ya 12 injuries player wewe unataja injuries za game moja moja.

Hao wachezaji unaowataja sijui martineli sijui saka wote hao nitajie mchezaji alimyezidi tu gordon magoli achana na isak na wilson.

Timu nzima Hamna mchezaji mwenye goal nyingi kumshinda gordon tu.

Ndo nilichokuambia arsenal kitu pekee unachojivunia ni kukaa hio nafaso uliyopo ambayo technicaly unapasha joto tu kiti cha watu hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…