arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Ww pumzi ya kufukuzana na sisi huna...alichotufanyia kipara mwaka jana ndo mwanzo na mwsho....sisi sio kama nyie kipara alikuwa anawageuza anavyotaka...huwa hatuna utaratibu wa kurudia kosa mara mbili...hzo ni Tabia zenu na kina Manunu na hao wengineHadi sasa tuna injuries nyingi tu na tunakimbiza
Hivi nyie ndio wa kutustua sisi kweli?
Ama lile kuti kavu pale juu linawapa jeuri mnaona mmemaliza?
Pale hammalizi round 2 mnatoka.
Subirini moto,mmsiyempenda kafika😂
Ukweli mchungu...
Magap ya kipara mliyochezea sindimba mwaka jana akawapokonya tonge mdomoni,sie hatuna msalia mtume 😂
Arteta kasema huna £50m usimsogelee Ramsdale January
Ww pumzi ya kufukuzana na sisi huna...alichotufanyia kipara mwaka jana ndo mwanzo na mwsho....sisi sio kama nyie kipara alikuwa anawageuza anavyotaka...huwa hatuna utaratibu wa kurudia kosa mara mbili...hzo ni Tabia zenu na kina Manunu na hao wengine
Kwa nini tumuuze kwa 50? Hatukumlipia 30 au zaidi huyu?Watu Wana underrate Sana eneo la GK , Newcastle kaumia Nick Pope ,wameambiwa watoe £50m wamchukue Ramsdale wanajivutavuta wanataka wavuzie Degea wabure
Sasa kufika February watakuwa wanagombea kucheza conference league na kina Chelsea ,man u
Tulimnunua £24m + 6add onsKwa nini tumuuze kwa 50? Hatukumlipia 30 au zaidi huyu?
Kuna mtu alisema jamaa ni security guard by profession...naanza kuona kama kuna kaukweli....itakuwa zamu iliisha siku Manunu alipombutua Chelkenge
Mzee partey akiwepo itakua ni hatari sanaArteta anapambana Partey awepo kwenye safari ya Dec 23
ile kiungo ya Rice Partey Ødegaard
Utapigwa utake usitake
Kwanini elneny anasahaurika katika list ya watu wanaoondoka?Wawakikishi wa Andre yule mbrazil wapo London ,wanataka kukamilisha usajili wake kwenda Fulham
Ina maana Palhinha ana chance kubwa anasepa
Namuomba Mikel afanye kitu ,hata akimchukua Palhinha,asimuachie January Partey asubiri had summer ambapo Jorginho, Elneny na Partey nadhani wataondoka
Na inaonekana ww ni hyo wa mwsho upande wa kushoto...watu wafupi mna pahala penu spesho peponi huko kwa Mwenyezimungu maana mna asili ya ubishi na hasira za haraka...ila ww Mr Flano umepevuka kidogo...una kaubishi na kusema mbovu unajua ila hasira za haraka huna...ubarikiwe mkuu🤠🤠🤠Yes profession securty guard nilikua likizo hivyo nikawa sina access ya network, baada ya kurudi lindoni sasa hivi nina access ya 24/7 ya free Wifi hivyo tutakua pamoja sana humu ndugu zangu, kikubwa ninaomba msinichoke tu. View attachment 2836305
Kuendesha timu ni kazi ngumu sana.@David_Ornstein on Ramsdale:
“I don’t think Arsenal would allow a loan - only a permanent & that would need to be at a level of fee that gives the proper finances to play with & I’m not aware of any movement on that front yet. Of course, Ramsdale wants & needs to be playing, but I hear, unsurprisingly, that he has been training well & a model pro. Ideally for Arsenal, this would be addressed in the summer.”
[@TheAthleticFC Q&A]
Kwa mismu almost mitano nyuma watu walokuwa wanafukuzana na kipara kwa karibu ni Liverfools na kipara alikuwa anawageuza anavyotaka...sisi tumekukuruka mwaka jana na tukateleza padogo...huo ujinga haturudii mwaka huu...sio utaratibu wetu kurudia kosa mara 2Liver alipambana na kipara mpaka pumzi ya mwisho, mechi ya mwisho ndio ikaamua mshindi tena kwa tofauti ya point 1.
Nyie Arsenyau mliongoza ligi kwa siku 258, zimebaki mechi 8 ligi kuisha nyie mlikua mbele kwa points 8 dhidi ya City, mechi 1 kabla ligi haijaisha Arsenyau yuko nyuma kwa points 8 dhidi ya City.
Halafu shabiki la Nyau linatembea kifua mbele na kuwacheka liverpool na kutamba kua "sisi sio kama nyie kipara alikua anawageuza anavyotaka" sasa hapo kipara alikua anamgeuza nani anavyotaka? View attachment 2836286