Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,122
- 111,804
Bado hana kikosi cha kuhimili kuusaka ubingwa. Wamepita na mkeka wangu bila huruma.Pia majeruhi wengi
Tuwape muda. Son naye kaumia. Kocha mpya mbishi mbishi labda watu wameanza kumsoma na kumuelewa.Bado hana kikosi cha kuhimili kuusaka ubingwa. Wamepita na mkeka wangu bila huruma.
Kwa namna walivyoanza Spurs niliona inastahili kombe lolote msimu huu.Spurs Kuna watu walikuwa wanasema Ni title contender
Kazi tuliyowatuma iliwashinda,na mlipita njia tulizopita msimu juzi.Mnaona kama kazi mliyotutuma tuliishindwa kwa hiyo mmeamua kuifanya wenyewe?
Nyie wenyewe juzi juzi tu hapa mlikuwa hamjiamini kwa sababu ya midfield na defence yenu. Mmepata viungo wanaosaidia ushambuliaji wenu ila bado upande wa ulinzi. Labda kuumia kwa Matip ni bahati kwenu kwa kuwa mtalishughulikia suala la ulinzi January. Nyie pia ni wa kuangaliwa mnavukaje January.Kazi tuliyowatuma iliwashinda,na mlipita njia tulizopita msimu juzi.
Tukawaambia yule jamaa ni mwehu,msiridhike mapema
Nyie mkalewa misifa😂
Kiukweli niliumia sana Aseno kukosa ubingwa EPL last season.
Safari hii iwe Kwa kuvunja mifupa, machozi,jasho, na damu tunabeba.
We subiri utaona mafekeche yetu😂Nyie wenyewe juzi juzi tu hapa mlikuwa hamjiamini kwa sababu ya midfield na defence yenu. Mmepata viungo wanaosaidia ushambuliaji wenu ila bado upande wa ulinzi. Labda kuumia kwa Matip ni bahati kwenu kwa kuwa mtalishughulikia suala la ulinzi January. Nyie pia ni wa kuangaliwa mnavukaje January.
Usiwastue mkuu....Hawa inatakiwa tuende nao hivihivi...fumba na kufumbua gepu la point nane ndo wataelewa shoo vzuri...sasahv acha tukimbizane taratibu....niliwahi kusema humu kipara asijaribu tena kuacha lile gepu la mwaka jana likajirudia....atajuta na ameshaanza kutepeta mapema...Hawa Liver wao wanajifanya wabishi...wakipata key injuries mbili tu tutaelewana mdogomdogoNyie wenyewe juzi juzi tu hapa mlikuwa hamjiamini kwa sababu ya midfield na defence yenu. Mmepata viungo wanaosaidia ushambuliaji wenu ila bado upande wa ulinzi. Labda kuumia kwa Matip ni bahati kwenu kwa kuwa mtalishughulikia suala la ulinzi January. Nyie pia ni wa kuangaliwa mnavukaje January.
Hadi sasa tuna injuries nyingi tu na tunakimbizaUsiwastue mkuu....Hawa inatakiwa tuende nao hivihivi...fumba na kufumbua gepu la point nane ndo wataelewa shoo vzuri...sasahv acha tukimbizane taratibu....niliwahi kusema humu kipara asijaribu tena kuacha lile gepu la mwaka jana likajirudia....atajuta na ameshaanza kutepeta mapema...Hawa Liver wao wanajifanya wabishi...wakipata key injuries mbili tu tutaelewana mdogomdogo
Sisi tupo mbele hapo tunawatimulia vumbi. Nyie mnatukimbiza huku mnatafuta majibu nje. Sisi tunaonekana kama tuna majibu yetu ndani na majibu hayo kama yote yatakuwa yamepona January. Tukimpata Palhinha au Douglas Luiz tu, tunajihesabu kama ubingwa tumeshauchukua. Mkiharibu tu January, hata mkitupita kidogo tutakuja kuwafanyia kile Kipara alichowafanyia mara kwa mara na kile alichotufanyia sisi msimu jana.We subiri utaona mafekeche yetu😂
Kama tulishinda na wale mababu..sasa safari hii ndio kivumbi.
Sifa yetu ni kikosi finyu,,tunafanya njia pasipo njia.
Kwanza waulize hata wenzio,balaa letu wanalijua🤣🤣🤣🤣🔥
Nadhani wewe hii timu hujaisoma vizuri😂😂😂Sisi tupo mbele hapo tunawatimulia vumbi. Nyie mnatukimbiza huku mnatafuta majibu nje. Sisi tunaonekana kama tuna majibu yetu ndani na majibu hayo kama yote yatakuwa yamepona January. Tukimpata Palhinha au Douglas Luiz tu, tunajihesabu kama ubingwa tumeshauchukua. Mkiharibu tu January, hata mkitupita kidogo tutakuja kuwafanyia kile Kipara alichowafanyia mara kwa mara na kile alichotufanyia sisi msimu jana.
Sasa mfano wa masanduku si unawafaa nyie? Ngoja February ifike tutakuwa tumeshaelewana.Nadhani wewe hii timu hujaisoma vizuri😂😂😂
Hizi ni tabia za hii timu,title contenders ..ndio wale wasafiri wanebeba masanduku na tiketi hawana🤣
Nadhani wewe hii timu hujaisoma vizuri
Hizi ni tabia za hii timu,title contenders ..ndio wale wasafiri wanebeba masanduku na tiketi hawana
Mmeshinda kwa kubahatisha,tayari ushaanza kurandaranda humuwasafiri wanaobeba masanduku halafu hawana tiketi wala nauli.
Kwa huu mfano uliowapea arsenyau unaitwa vivid example yaani hata wale raia wa mirembe lazima waelewe somo.
Kuna mtu alisema jamaa ni security guard by profession...naanza kuona kama kuna kaukweli....itakuwa zamu iliisha siku Manunu alipombutua Chelkenge🤠🤠🤠Mmeshinda kwa kubahatisha,tayari ushaanza kurandaranda humu
UCL mnaburuza mkia