Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,416
- 96,771
Dah hapa tutafute na forward, ili angalau kuongeza spaceMatip miezi 9 sijui habari unayo, bado konate injury prone
Wakati huo Arsenal tunajiandaa kuwapokea Partey ,Smith , Timber na usajili mpya wa Beki na kiungo ,
Kabisa. City ilikua na mabeki 5 jana uwanjani lakini haijasaidia, kudhibiti hao watu.Inabidi Arteta ajipange kuwadhibiti McGin na Bailey ili wasiweze kumtengenezea finishing passes Watkins
Mzee bado unamuwaza Martinez ?Ila Martinez kipaa! hapa tukubali tu arteta alifanya makosa kumwachia, maana ata Leno mwenyewe sijui yuko wapi..
Game yetu na Aston villa iko mikononi mwa raya akileta mzaa wake tunakufa mapema tu, kipa wa city jana alivyo chomoa ile michomo sio poa hivhiv wangekufa ata nne
Unadhani tunamtegemea Matip?Matip miezi 9 sijui habari unayo, bado konate injury prone
Wakati huo Arsenal tunajiandaa kuwapokea Partey ,Smith , Timber na usajili mpya wa Beki na kiungo ,
Ndio backup yenu, Konate tunajua mechi mbili zijazo anarud wodiniUnadhani tunamtegemea Matip?
Robbo mpaka mwez wa 2 huko ,Unadhani tunamtegemea Matip?
Robbo anarudi,una habari?
Nakusogezea hii hapaUnadhani tunamtegemea Matip?
Robbo anarudi,una habari?
Endelea kuotaNakusogezea hii hapanyingine ,yaani wewe February utakuwa unagombea upate top 4
️@JamesPearceLFC:
Alexis Mac Allister is now a doubt for Saturday’s trip to Crystal Palace after needing stitches in a wound in his knee.
Shauri YakoRobbo mpaka mwez wa 2 huko ,
Liverpool is 2nd, 2 points off but it's Man city worrying us. No one's caring about Wataro and friends for the PL title.
SawaEndelea kuota
Hiyo nafasi anakaa Trent kama huna habari
Newcastle United piaHapa tusubiri game ya liver na man u, maajabu yatimie🤣😂
Endo pia humuoni?Sawa
Konate utasikia soon ana injuryShauri Yako
Kisiki cha dunia VVD
Gomez yupo
Konate yupo
Hapana aisee Sion akiweza battle za wakubwa ,ndio maana kocha wako hamuaminiEndo pia humuoni?
Kwahiyo unamtegemea man u akukomboe dhidi ya Liver?Game zijazo liver ana Crystal palace, na man u.
Dua zianze kuombwa saa hii
Subiri utaonaHapana aisee Sion akiweza battle za wakubwa ,ndio maana kocha wako hamuamini
Kwanza mfupi aisee
Ten hag Jana kaamka, so kazi kwenu😂🤣Kwahiyo unamtegemea man u akukomboe dhidi ya Liver?
Wewe itakuwa hata soka hufuatilii
Mechi ya liver na utd unapata wapi matumaini ya man u kushinda
Mwaka huu tumejipangaSubiri utaona
Kama mwaka jana mlimzawadia pep kikombe kwa ujinga wenu
Mwaka huu tunakibeba wenyewe wanaume wa shoka