HahaaaaTunalitaka hilo kombe. Tanalisaka hilo kombe. Matokeo yake kila timu sasa inatuogopa. Zamani tulichukuliwa kama wasindikizaji wanaopigania nafasi za Europe tu. Sasa top teams zote kama liverkuku na mamacita hawapati uzingizi juu yetu. Timu ndogo zote kama chelkenge na manyumbu wana ndoto za kutufunga sisi tu, mengine kwao ni majaliwa.
Ninyi gombanieni top four tu ,kombe la Epl lina wenyewe .Tunalitaka hilo kombe. Tanalisaka hilo kombe. Matokeo yake kila timu sasa inatuogopa. Zamani tulichukuliwa kama wasindikizaji wanaopigania nafasi za Europe tu. Sasa top teams zote kama liverkuku na mamacita hawapati uzingizi juu yetu. Timu ndogo zote kama chelkenge na manyumbu wana ndoto za kutufunga sisi tu, mengine kwao ni majaliwa.
Ninyi kombe lenu nikuingia top four eplTunalitaka hilo kombe. Tanalisaka hilo kombe. Matokeo yake kila timu sasa inatuogopa. Zamani tulichukuliwa kama wasindikizaji wanaopigania nafasi za Europe tu. Sasa top teams zote kama liverkuku na mamacita hawapati uzingizi juu yetu. Timu ndogo zote kama chelkenge na manyumbu wana ndoto za kutufunga sisi tu, mengine kwao ni majaliwa.
Safi Sana kiwiorJakub kiwior White and Kai havertz Start
3 changes for Arsenal this evening.
Strong and physical side.
Saka au/na Martinelli wangepumzika tu kwanza. Tukamleta hata Elneny hapo kwa Kai. Kai aende CF, Jesus RW au apumzike bench ili Nelson acheze LW ama RW. Nafasi iliyobaki ya mbele awekwe Trossard.
Arteta anaakuambia winning team do not changeSaka au/na Martinelli wangepumzika tu kwanza. Tukamleta hata Elneny hapo kwa Kai. Kai aende CF, Jesus RW au apumzike bench ili Nelson acheze LW ama RW. Nafasi iliyobaki ya mbele awekwe Trossard.
Tupate ushindi mapema kwanza, habari za kupumzika zitakuja baadaeSaka au/na Martinelli wangepumzika tu kwanza. Tukamleta hata Elneny hapo kwa Kai. Kai aende CF, Jesus RW au apumzike bench ili Nelson acheze LW ama RW. Nafasi iliyobaki ya mbele awekwe Trossard.
Wanaweza wakawa wanakuja zaidiLuton nategemea kipindi cha pili vitachoka