Naiona hatari inakuja January hadi may, madamu yatamwagikaYupo kwa List
verifaidi yuza alileta habari humu ambayo Ni reliable kabisa ,Inaonesha Douglas Luiz labda Hadi summer
But Kwasasa Bayern Kama wamejitoa hivi kumtaka ,
Wachambuzi wanasema itakuwa hatari Sana kama Arsenal watampata huyo jamaa
Huyo Ni Pure DM,
hatahusika kwenye maswala ya kupokea mpira kwa back 4, hiyo kazi wanaifanya Zinchenko anaye invert, au Rice au Ødegaard,yeye kazi yake kupora mipira na kazi chafu ,Mali anamkabidhi Øde,rice
Mpira umehamia kwenye duels na kuwin 50/50
Kuna watu mpaka Leo hawajui kwanini tulimsajili Kai havertz na Rice ,Ni baada ya Arsenal kusumbuliwa na Everton ,type ya timu hizo, au mancity timu ambazo zinahitaji ushinde mipira ya juu ,uwin duels zote
Pep ,baada ya mechi 2 zote vs Arsenal,alisema, Ni ngumu kukabiliana na mipira mifupi na mirefu ya Raya ambaye huwa anaitarget kwa Kai
Mechi ya pale Emirates, Kai ndiye aliwaua city ,Inapigwa long balls ,akiwa katikati ya mabeki wa city ,anapokea mpira hewan anauweka chini anampa MARTINELL ,Kamba
Unapoenda UCL , una Rice LCM , Palhinha DM Ødegaard RCM
Kai CF , ukuta ule wa Arsenal wote wale 6ft+
Tomiyasu Big Gab Saliba White
Palhina Rice Kai
Kama tutampata huyo jamaa
Kila la kheri wapinzani,
Utakubali show leo , hatuwezi toa draw na vilema kama MANUndu FcNyie pwagu na pwaguzi, game inatoka draw hii
Kama mnataka striker tuwape " wako jacko " mtupe SakaDozi juu ya dozi, tuki pata na striker no 9 ni.
Kila mtu ashinde mechi zake
Palinha kikongwe yule mnapeleka wapi ?Douglas Luiz yule Emery hawezi kutuuzia...na akituuzia atataka kukomoa maana hawana presha ya kuuza...tuangalie kwngine
Son anajua kuwatesa mancity , nahisi kila mechi na city lazima afungeSon is my favourite, namkubali sana. Huyu mtu anahitaji half a chance to score, ni vile tu sio muingereza. Tuliwahi kupigiwa kelele na media kuhusu Delle Alli utadhani ni generational talent.
Son angekuwa ni muingereza ingekuwa ni illegal kupublish news kwenye media bila kumtaja, msimu uliopita ‘Rashid Makame’ akiwa ‘one season wonder’ kidogo wampe PFA young player of the year japo ana umri wa kustaafishwa soka.
Son Heung-min, the unsung hero!
Kafieni mbele🙄😂🤣🤣Kama mnataka striker tuwape " wako jacko " mtupe Saka
Kaka nilisha sema Humu, yule mtu ni 🔥🔥🔥🔥, sijui kwanini haonekani ??Son is my favourite, namkubali sana. Huyu mtu anahitaji half a chance to score, ni vile tu sio muingereza. Tuliwahi kupigiwa kelele na media kuhusu Delle Alli utadhani ni generational talent.
Son angekuwa ni muingereza ingekuwa ni illegal kupublish news kwenye media bila kumtaja, msimu uliopita ‘Rashid Makame’ akiwa ‘one season wonder’ kidogo wampe PFA young player of the year japo ana umri wa kustaafishwa soka.
Son Heung-min, the unsung hero!
Sio kweliMwamba huyu hapaView attachment 2833856
Son ni shujaa asiyeimbwa, ni vile anakipiga Tottenham tu, ila ni mchezaji wa daraja kubwa saana.Son kile chuma hakuna timu ingesimama maan tisa yeyote NI kujiposition na Yule anajua
Kaka nilisha sema Humu, yule mtu ni 🔥🔥🔥🔥, sijui kwanini haonekani ??
Ni neno dogo lakini lina umuhimu mkubwa, naheshimu saana kitu bahati, natamani sana kitu bahati tena iwe nzuriKaka nilisha sema Humu, yule mtu ni 🔥🔥🔥🔥, sijui kwanini haonekani ??
Huyu yuko level za kina toni kroos, de brune, iniesta, xavi, Thomas mullerSon ni shujaa asiyeimbwa, ni vile anakipiga Tottenham tu, ila ni mchezaji wa daraja kubwa saana.
Huyu yuko level za kina toni kroos, de brune, iniesta, xavi, Thomas muller
Hii ilikua summer, labda kama ameanza mazoezi binafsiMwamba huyu hapaView attachment 2833856
Huwa anasema pia "maji wataita mma". Ila hawa Luton acha tu tuwapige aisee tujionezee vipointi na vigoli kidoo tuboreshe GD yetu.mkorea anasemaga matokeo ni mawili tu, ama Arsenal ashinde au Luton afungwe na vijana wakitaka tupishane dhahma itawakuta.