Arsenal (The Gunners) | Special Thread

View attachment 2828635wakati wanawashika ka li o hiyo ilikuwa under 10 au sio
Karibuni sana ndugu zetu saa 5 usiku kwa majira ya saa za afrika mashabiki mshuhudie namna tunavyotoa shule ya soka kwa wadogo zetu kutoka ufaransa...kile walichokifanya siku ile kule kwao leo watajuta kwnn walikifanya maana ule ulikuwa ni utovu wa nidhamu🤠🤠🤠...tutawadunda na tutawafundisha namna ya kucheza soka safi
 
Mkuu LCM si tayari yupo Lord Havertz!! 🤣🤣
 
As things stand
Kwa matokeo haya arsenal ameshafuzu makundi

Tukutane mtoano/ ngumi jiwe
 
Watawanyoosha sana
Ponapona yenu ni draw
 
Wakishawakanda na kupaki bus ndio utaelewa vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…