huyu babu huyu!!!! ansante sana MAN UTD kwa kile kichapo... kimesaidiaa baana !!! i was waiting the whole summer kwa usajili kama huu... sio kina chembilerlin & jenkisom.. duh!
Arteta ndani ya Emirates .... ..... .... na Benayoun safi sana. Na inaelekea Arsenal web site ime-crash maana wapenzi wapo kwa wingi all over the world .... ..... ...
Alisaini 1 hour before dead line si unajua Gunners wanafuata protocal hawawaambii wapiga majungu na wanolo, watajua in about 30 minutes . Kwa sababu confirmation ya paper work kuwa lodged inatoka FA kwenda kwa club husika.
Alisaini 1 hour before dead line si unajua Gunners wanafuata protocal hawawaambii wapiga majungu na wanolo, watajua in about 30 minutes . Kwa sababu confirmation ya paper work kuwa lodged inatoka FA kwenda kwa club husika.
Wakuu hakika ni furaha kuona Arsene Wenger amefanya usajili wa wachezaji watano muhimu kama nilivyokuwa nafikiri angefanya.
Arsenal ilikuwa very week team na kama ingecheza tena ile timu na Swansea ingefungwa vibaya tena.
Baada ya ile mechi ilibidi wachezaji wote wale tuwaondoe kwenye mstari wa mbele wa mashambulizi na wote wamenyang'anywa silaha zao na zimewekwa kwenye ghala.
Sasa tuangalie yajayo na tunaanza na Swansea Emirates jumamosi tarehe 10 September.