Usilie basi.. Kama mnaona anawafaa mngemchukua nyie akaifundishe timu yenu mbovu.Arsenal mnapiga mark time halafu mnajipongeza. Arteta hatawapeleka popote ukilinganisha na Unai walau angewaweka top 4 na kucheza final ya Europa.
Kwa msiofahamu ni kwamba mnamzidi Villa point 2 tu! Halafu hamis77 anawadanganya kuwa arteta ni top coach kuliko Unai.
Nilikubaliana na maoni yaliyosema Arsenal msimu tutauanza January kwa sasa hivi tufocus na kuhakikisha mtu wa kwanza hatuzidi points zaidi ya 4.
Ikifika January watu wote wakirudi ndiyo tuanze msako. Arsenal inajua kuoverdeliver na kuunderdeliver. Matokeo yake January haijafika Arsenal kaoverdeliver kawa wa kwanza.
Hapo bado hiyo january haijafika. Sasa mtihani upo kwenye kumaintain
Sasa kama sisi vinara inabidi tuhofie kwakua tumemzidi villa points mbili hao walio chini yetu wafanyaje?Arsenal mnapiga mark time halafu mnajipongeza. Arteta hatawapeleka popote ukilinganisha na Unai walau angewaweka top 4 na kucheza final ya Europa.
Kwa msiofahamu ni kwamba mnamzidi Villa point 2 tu! Halafu hamis77 anawadanganya kuwa arteta ni top coach kuliko Unai.
False hoper..UEFA
Ligi
FA
2 yanatua kwetu
Tunapigwa na baridi tu huku kileleniFalse hoper..
Ni kweli Arsenal imemzidi Aston Villa ya Unai Emery kwa alama 2 tu, vipi wewe uliye na Kocha wa Viwango na timu nzuri kuliko anayofundisha Arteta ya Arsenal vipi umemzidi huyo Aston Villa Point ngapi?Arsenal mnapiga mark time halafu mnajipongeza. Arteta hatawapeleka popote ukilinganisha na Unai walau angewaweka top 4 na kucheza final ya Europa.
Kwa msiofahamu ni kwamba mnamzidi Villa point 2 tu! Halafu hamis77 anawadanganya kuwa arteta ni top coach kuliko Unai.
Wewe mama ebu angaika na mumeo usiku huu, achana na sisiKama kawaida yenu,mnabembea kwenye kuti kavu
.mbio zenu za sakafuni upepo utakata.
VipiWewe mama ebu angaika na mumeo usiku huu, achana na sisi
Nani mwingine alitutishia anakujA?Nyie wahuni mnatamba eti mpo kileleni wakati bila sisi kukaza miguu mngepasikia tu
Enjoy ka mwisho mwisho tunakuja
Nusu achome kibanda Ile siku ya game, Hadi nikakukumbuka unavyosema dakika zake za kujitoa akiliVipi
Mshkaji wangu Ramsdale hajambo?
Brentford walivyo na mateke dawa yao wapate mvuta bangiNusu achome kibanda Ile siku ya game, Hadi nikakukumbuka unavyosema dakika zake za kujitoa akili
Unai simngemchukua nyieArsenal mnapiga mark time halafu mnajipongeza. Arteta hatawapeleka popote ukilinganisha na Unai walau angewaweka top 4 na kucheza final ya Europa.
Kwa msiofahamu ni kwamba mnamzidi Villa point 2 tu! Halafu hamis77 anawadanganya kuwa arteta ni top coach kuliko Unai.