arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Mkuu tutajie ndani ya miaka 25 ilopita mna makombe mangapi ya EPL🤠🤠...mnatupigia kelele humu tuna Nyunyez sijui...Salah...sijui Firmino kipindi kile mara Mane...lakini mna kombe moja la EPL kwa miaka almost 25Wenye mafanikio huwa hawapigi kelele, Ila wale wenye nacho kidogo ndio huwa wanapenda kitambulika kwamba wanacho. Mfano mzuri ni Arsenal wanajiita ni timu kubwa na Mashabiki wake ni wapiga kelele mno lakini timu yao tangu ianzishwe haina UEFA wala EUROPA na Mara yao ya mwisho kubeba EPL ilikuwa 2003/04.
Waingereza wamefunika kombe hapo ,manisiti sijui kama watamgusa mapema.Anaachwa Man City
View attachment 2816553
Trace mwaka ambao kikosi chako chote kilikua fit. Kisha taja kikombe mlichochukua.Anza wewe trace mwaka ambao kikos chako kilikua fit ndani ya miaka 20(2 decades) utaje kombe mliochukua tuanze hapo kwanza.
Tutajie tena mwaka gani hamkuchukua kikombe kutokana injuries.
Shabiki la manyumbu linapojifanya shabiki la Newcastle, msimu huu ndio mwisho wako kulopoka humu, we're coming for the kill.FALSE HOPE ! Kwamba injury free , mbona visingizio vingi sana. Timu zote zinapata injuries so injury ni constant value, huwezi kusema nimekosa ubingwa kisa injuries.
Kuna mtu anaonyesha last season arsenal after 12 games alikua na point 30 halafu this season man city ana point 28 after 12 games sasa sijui anataka kuwapa false hope gani waumini, anasahau kwamba pamoja na point 30 lakini alitoka trophyless
Mbona husemi kwmba nyny ndo mtaubeba😀😀Nyie kondoo mnafurahia City apate majanga y kushuka daraja mnafikiri hata mna ubavu wa kubeba huo ubingwa.
Mkitaka ubingwa ombeeni labda na liva ashushwe daraja, ndio njia pekee y nyie kubaba ubingwa.
Hata liva nae akishushwa, mlivyo fungu la kukosa na bado mnaweza mkaukosa. Nyie ni nani? Semeni nyie ni kondoo
Kai dakika ya 5, kawaweka goalndo kai kafika na huku pia, watakaoangalia game hii mtatupa kai katumikaje hapo.
Kai Havertz will plays as a left-back against Turkey this evening. When in possession of the ball, the Arsenal midfielder is supposed to interpret his role in a very offensive way. [@kerry_hau
Hao wanyang'anywe kabisa kila title waliyoshinda huku wamebreach FFP halafu wampe hiyo title aliyekuwa wa pili kama huyo wa pili hakubreach hizo rules. Wakikuta wa pili naye alibreach, waende kwa wa tatu na waendelee hivyoWanafata wao na Chelsea
Financial advisor
Chelsea and Man City look set to face RELEGATION from the Premier League after Everton's 10-point deduction if they are found guilty of breaking FFP rules
Everton kukatwa point wanasema wameanza nae ili wafatie Chelsea na mancity ambao adhabu zao Ni kwenda championship
Mbona Mamacita amefuatiliwa miaka mingi tu na hajawahi kuadhibiwa? Si wanakutwaga bila hatia kila mara?Kuna Kenge moja iliambiwa na Will Jr kuhusu Roman alivyohonga pesa kwa wakala ili hazard asiende Arsenal aliyokuwa ameichagua ikawa inaropoka,
Kuna madudu mengi
Week hii kumekuwa na shinikizo baada ya ushahidi mwingi kupatikana
Chelsea wanaweza kumkata point 12 au kushushwa daraja
Mancity anashushwa daraja
Hawa false hopes unajua wanachekesha sana yaani fun fact ni kwamba arsenal last year tu ndo kaingia top 4.
Technically arsenal sio top 4 team kutokana na ukiangalia recently ndani ya seasons 7 kaingia top 4 mara 1 tu .
Ndani ya hio season 7 hali ilikua hivi
1: season 2016/ 2017 - nafasi ya 5
2: season 2017/2018- nafasi ya 6
3: season 2018/2019- nafasi ya 5
4: season 2019/2020 - nafasi ya 8
5: season 2020/2021- nafasi ya 8
6: season 2021/2022- nafasi ya 5
Sasa utakuta false hopers humu wanabeza chelsea, Tottenham na Newcastle hasa hasa totte wakiwa pale top 4 kama kipindi hiki utasikia huyo Tottenham au Newcastle watarudi walipotokea utadhani Arsenal ndani ya top 4 kwa misimu 7 recently alikuepo hapo , yaani kuingia last season tu wamejipa hati miliki ya top 4
Usisahau ile UEFA Cup Winners Cup yetuWenye mafanikio huwa hawapigi kelele, Ila wale wenye nacho kidogo ndio huwa wanapenda kitambulika kwamba wanacho. Mfano mzuri ni Arsenal wanajiita ni timu kubwa na Mashabiki wake ni wapiga kelele mno lakini timu yao tangu ianzishwe haina UEFA wala EUROPA na Mara yao ya mwisho kubeba EPL ilikuwa 2003/04.