Ni mpumbavu pekee anaweza kushtuka na manjestaLakini timu iko nafasi ya 6 na inazidiwa pointi 6 na arsenal iliyo na nketiah mwenye hatrick.
Manjesta hizi point mlizonazo Ni mechi mlizoshinda ,bado Kuna vipigo vingi na droo vinakujaLakini timu iko nafasi ya 6 na inazidiwa pointi 6 na arsenal iliyo na nketiah mwenye hatrick.
Ubebe point Anfield?Imebaki, kubeba point uwanjani kwenu
Nipeni dili masela dada yenu nikamate mahelaHuku machimbo ndio sana
Hater unaumia ukiwa wapi?Chelkenge wametoa droo ya 4-4 na city kwa mpira wa kushawishi kabisa kuwa ni wazuri kuliko nyie washika manati mlioshinda goli 1-0 kwa pira la kubabatiza na bado hawajihisi kuwa mabingwa. Arsenal mmebahatisha ushindi mwembamba wa bahati nasibu dhidi ya city mkaanza kelele kuwa mwaka wenu huu. Mbaya zaidi tangu msimu uanze baada ya MW 1 hamjawahi kukaa kileleni lakini mnajiona mabingwa wajao.
Punguzeni matarajio msije kufa kwa presha hopers.
Anawaambia ukweli mnamlazimisha aconcentrante dakika zoteRamsdale ni kama kajipalia makaa, hata mashabiki walokua wanamhurumia sijui watamchukuliaje kwa interview yake iyo
Tuko na chuma kipya sahivi, kwaio sio shida zetu tena concentration yakeAnawaambia ukweli mnamlazimisha aconcentrante dakika zote
Nyie mngeweza?
Chuma kipya?Tuko na chuma kipya sahivi, kwaio sio shida zetu tena concentration yake
Arsenal are ready to hijack Newcastle’s move for Ruben Neves. Arsenal’s sporting director Edu is known to be a long-term admirer of former Wolves star Neves.
[@alex_crook]
Haondoki ng'ooRamsdale’s time at Arsenal is well and truly over.
Pack your bags and leave in January.
One thing I know Arteta dislikes is someone that runs his mouth to the media
Waingereza hawa ukiwaendekeza wanakuharibia timu.Ramsdale’s time at Arsenal is well and truly over.
Pack your bags and leave in January.
One thing I know Arteta dislikes is someone that runs his mouth to the media
Nyie mara ya mwisho kupata EPL kombe ilikuwa lini?
Lini mliambulia kikombe hicho?akiyanani
Nacheka kama mazuri
Toka mwanangu anazaliwa,amemaliza chuo mwaka huu,Arse8 hawana EPL.
Subiri uone tunavyomchakaza huyo Pep unayemuogopa...kumbukeni hatuna mababu kwenye timu,,,Kuna vijana wahuni wanafyatuka kama mashine.
Watakutana na majasusi akina Jotavijana wahuni
Na mtakomaWaingereza hawa ukiwaendekeza wanakuharibia timu.
Kama huyu anajiona kama club ni yake, yeye nani asikae benchi.
Yani asidake kipa mzuri adake yeye kisa alikua sehemu ya project.. Hii sio shida yetu fans, he has to improve his game.
Huyo chelsea mbovu we ulimfunga ngapi?Huyohuyo aliyeshindwa kuwapiga Chelsea wabovu,aje atupige sisi?
Subiri uone tunavyochukua point kiume.
Nyie subiria Ramsdale apate madness
Brentford wawakandike.