Nyie mara ya mwisho kupata EPL kombe ilikuwa lini?Hamuwezi kumfunga city timu inaruhusu Sana nafasi
Nyie miaka 8 mnafukuzana na pep mmeambulia 1,
Subiri sisi tuanze kumpika ,vijana washakomaa
Karibu sana Mkuu aiseeHiyo mechi utakuwa wapi tucheki wote
Ashasema kila baada ya dakika kadhaa kichaa kinampanda kichwani🤣Arsene Wenger has told Aaron Ramsdale to stay put at Arsenal, as he believes the England goalkeeper will get another chance to prove himself under Mikel Arteta.
Arsene Wenger says he’s a big fan of the Arsenal number one but admits he doesn’t know if he’s better than David Raya just yet.
Arsene Wenger on Aaron Ramsdale: “Personally, I like [Aaron] Ramsdale. If I was in his position I would not give up because I believe he has a chance to get back into the team.”
Kuna goli alitunguliwaga...tulikuwa tunashambuliwa ghafla kuna kama kamnyama kakawa kanapita nyuma ya goli...Rambo akageuka kukaangalia halafu akarudi tena mchezoni...kilichofata ni goli baada ya hapo🤠🤠🤠...jamaa ni golie mzuri sema huwa ana wenge flani hvi hasahasa tukikutana na timu zinazopiga msakoRamsdale ndio maana ataendelea kula mkeka
Aaron Ramsdale: "If you ask me to concentrate on a game of football for 90 minutes? I'm finished. I can't do it."
"That's why I get involved with the fans and I'll sing along with the songs. If someone is giving me abuse, i'll turn round and give them a bit back."
"I've had my 2-3 minutes of madness in my head and then straight back to the football.... I've got my 10/15 minutes of pure concentration again."
"Next thing you know, half time is around." (Budweiser)
Ww walivyokutembelea hao mabroo pale kwny matofali ya kuchoma nn kilitokea🤠🤠🤠....mashabiki wa Manunu na Chelkenge mnapata wapi nguvu ya kukaza nzi hmu wakati nyny wte ni pipa na mfunikoChelkenge wametoa droo ya 4-4 na city kwa mpira wa kushawishi kabisa kuwa ni wazuri kuliko nyie washika manati mlioshinda goli 1-0 kwa pira la kubabatiza na bado hawajihisi kuwa mabingwa. Arsenal mmebahatisha ushindi mwembamba wa bahati nasibu dhidi ya city mkaanza kelele kuwa mwaka wenu huu. Mbaya zaidi tangu msimu uanze baada ya MW 1 hamjawahi kukaa kileleni lakini mnajiona mabingwa wajao.
Punguzeni matarajio msije kufa kwa presha hopers.
Nipo A town, mech ya Liverpool vs Arsenal nitakuwa darKaribu sana Mkuu aisee
Bado sijapata pa kuicheckia
Kama upo mjini karibu sana,ntakuwa nyumbani mubashara kabisa.
Nyie mmekaa miaka 30,Nyie mara ya mwisho kupata EPL kombe ilikuwa lini?
Lini mliambulia kikombe hicho?akiyanani
Nacheka kama mazuri
Toka mwanangu anazaliwa,amemaliza chuo mwaka huu,Arse8 hawana EPL.
Subiri uone tunavyomchakaza huyo Pep unayemuogopa...kumbukeni hatuna mababu kwenye timu,,,Kuna vijana wahuni wanafyatuka kama mashine.
Mimi nataka uwepo Mara kwa Mara sio vipigo vikirudi unapotea ,na ukirudi lawama mnawapa Grazzer
A town, nina ndoto za kuishi A town .. karibu sana mjini uone tunavyowagongaNipo A town, mech ya Liverpool vs Arsenal nitakuwa dar
Hizi blah blah tu
Nimeuliza nyie mlichukua lini?Nyie mmekaa miaka 30,
Kwasasa tupo kishindani haswa
Sare itapendeza ,ila sijui Kama mtaipata
Mjini ndio makazi ,nipo A town kikaz, hiyo mechi nitakuwa town ,A town, nina ndoto za kuishi A town .. karibu sana mjini uone tunavyowagonga
Sis siyo wa sareNyie mmekaa miaka 30,
Kwasasa tupo kishindani haswa
Sare itapendeza ,ila sijui Kama mtaipata
Lakini timu iko nafasi ya 6 na inazidiwa pointi 6 na arsenal iliyo na nketiah mwenye hatrick.Hizi nguvu zakupiga kelele ,mnazitoa wapiView attachment 2813542
Oh kumbe!Mjini ndio makazi ,nipo A town kikaz, hiyo mechi nitakuwa town ,
Moja ya ajenda zetu ilikuwa kumpiga city tukafanikiwa mara 2, nyingine kushinda away kwa Everton, tumefanikiwa ,
Imebaki, kubeba point uwanjani kwenu
Huku machimbo ndio sanaOh kumbe!
Nipe deal hizo za A town Mkuu,, Mimi napishana nazo sana wakati ni mji ninaoupenda sana.
Sisi ajenda zenu hatuzijui
Tunachotaka sisi ni kuona kikombe