Kama atakua na muendelezo wa majeruhi aachwe tuChukulia Kama tetesi, huyo mtoto Arteta anampenda Sana,
Naungana nanyi. Montemurro alikuwa anapigisha boli na results tunapata. Miedema alikuwa anafunga mpaka anachoka. Anaassist mpaka anachoka. Kaja Eidevall na naona kama kashindwa kuvaa viatu vya Joe vilivyo. Nadhani injuries za Miedema na kuhamishwa position kwake pamoja na injuries kwa Mead na wengine pia imechangia, ukiachana na kocha. Pia ikumbukwe kuwa wanawake wanateseka zaidi na injuries kwa sababu ya vitu vidogo dogo kama viatu bado havijapatiwa design inayofaa miguu ya kike, misuli yao ina recovery time tofauti na ya kiume, etc. All in all, tupate kocha. Labda yule wa BarcaUpo sahihi ,kocha pale hatuna
Naona pia tuna trend ya kukusanya akina Gabriel na MartinView attachment 2812554
Dah! Raya hatokuwepo golini dhidi ya Brentford.
Haya, acha tuone Ramsdale alichonacho.
Naona pia tuna trend ya kukusanya akina Gabriel na Martin
Gabriel Jesus
Gabriel
William Saliba Gabriel
Martin Odegaard
David Raya Martin
mpaka hata kuna Gabriel Martinelli. Sijui tumeona siri gani kwenye haya majina
iwe ivy maana kikosi chetu kitazidi kuwa na ufinyuChukulia Kama tetesi, huyo mtoto Arteta anampenda Sana,
kuna video niliona ilikua kama utani arsenal fans wanaulizwa wamtoe bukayo wapewe mbappe ... wote waligomea dealBukayo Saka amehusika katika Magoli(G/A) dhidi ya kila timu iliyoshiriki EPL Kwa kipindi chote alichocheza 24/24.
Rekodi ambayo ni yeye pekee anaishikilia kwa sasa akiwa nyuma ya Harry Kane ambae anarekodi ya 100% dhidi ya 32/32.
Starboy
View attachment 2812461
kama nyumbani sio nyumbani peleka timu santiago au peleka timu anfield unaeza pata matokeo ila kwa challenge sanaMpaka leo Mkuu bado una mentality ya kuwa nyumbani na ugenini mbona mpira siku hizi hauna hiyo. Mtu anapigwa popote pale akikaa vibaya.
Nyumbani na Ugenini ilikuwa kipindi cha miaka ya 2000, Ferguson na Mourinho walivyojijengea ngome zao. Lakini Mourinho mwenyewe siku hizi hata akiwa nyumbani anapingwa tu
raya ni mzuri kwenye kudaka + footwork ila siku zinavozidi kwenda naona ramsdale confidence inapotea ukilinganisha na press ya southgate naona January ramsdale anaeza timuka, japokua arteta anasema asiwe na haraka bado mapema sanaView attachment 2812554
Dah! Raya hatokuwepo golini dhidi ya Brentford.
Haya, acha tuone Ramsdale alichonacho.
ila kikosi chetu kina watu wanaokupa matokeo naona bado kuna mahali mwalimu anachangamotoNaungana nanyi. Montemurro alikuwa anapigisha boli na results tunapata. Miedema alikuwa anafunga mpaka anachoka. Anaassist mpaka anachoka. Kaja Eidevall na naona kama kashindwa kuvaa viatu vya Joe vilivyo. Nadhani injuries za Miedema na kuhamishwa position kwake pamoja na injuries kwa Mead na wengine pia imechangia, ukiachana na kocha. Pia ikumbukwe kuwa wanawake wanateseka zaidi na injuries kwa sababu ya vitu vidogo dogo kama viatu bado havijapatiwa design inayofaa miguu ya kike, misuli yao ina recovery time tofauti na ya kiume, etc. All in all, tupate kocha. Labda yule wa Barca
Nadhani McCabe ni mmoja wapo. Noma sana yule demu.ila kikosi chetu kina watu wanaokupa matokeo naona bado kuna mahali mwalimu anachangamoto
Ligi ndio Kama inaenda kuanzaMsimamo wa PL kuelekea International break!
Tukirudi, Man City watawakaribisha Liverpool!
Man United watakuwa away dhidi ya Everton!
Chelsea uso kwa uso na Newcastle United!
Wakati Brentford akikutana na Arsenal!
Ligi inazidi kupamba moto, na wanataka ubingwa wanaonekana!View attachment 2812632
Anawadanganya na form uchwaraKuna uwezekano United wakafukuza kocha after international break, naona kuna vipigo back to back.
Anauzwa fasta , tupate pesa tuvute kiungoraya ni mzuri kwenye kudaka + footwork ila siku zinavozidi kwenda naona ramsdale confidence inapotea ukilinganisha na press ya southgate naona January ramsdale anaeza timuka, japokua arteta anasema asiwe na haraka bado mapema sana
Kwaiyo wanahis anaweza asiwe na Injury alfu Arsenal waaimtumie maksudi ama?EXC
Gabriel Jesus amesafiri hadi Brazil kwa majukumu ya timu ya taifa.
Chini ya sheria za FIFA, nchi zina haki ya kutathmini wachezaji wenyewe - na Brazil imetumia kipengere hicho kufanya hivyo.
Ikumbukwe wiki kulikuwa na mvutano Kati ya Arsenal na chama cha soka Cha Brazil,Arsenal wakisisitiza Jesus ana injury ,Brazil wakisema wanaomba wahakikishe wenyewe .
Asiwe na haraka bado mapema sana ??raya ni mzuri kwenye kudaka + footwork ila siku zinavozidi kwenda naona ramsdale confidence inapotea ukilinganisha na press ya southgate naona January ramsdale anaeza timuka, japokua arteta anasema asiwe na haraka bado mapema sana