Wazee wa lisupa kompyuta linasemaje huko, asenali atachukua kombe lolote msimu huu?
Upo sahihi ,kocha pale hatunaMimi pia nafuatilia WSL. Tatizo kubwa kabisa ni coach, kwa sababu kapewa wachezaji wa kila aina na wenye quality lakini mpaka sasa bado anasuasua.
Wachezaji hao hao mpe Emma Hayes wa Chelsea W halafu uone atakavyobeba vikombe vyote.
Mtachukua manjesta ,huoni mnaongoza kundi lenu la UCLMasingeli tayari kashawaaminisha msimu huu wanachukua Uefa, tena kawathibitishia kabisa hakuna kombe rahisi kuchukua kama Uefa.
Ukimuuliza kama kuchukua Uefa ni rahisi hivyo kama unavyotuaminisha kwenye kabati la Arsenyau kuna makombe mangapi ya Uefa?
Anakuita wewe uliohoji hilo swali ni anti semitism
Mtachukua manjesta ,huoni mnaongoza kundi lenu la UCL
Geuza msimamo mnaongoza kundiView attachment 2812462
Mpaka leo Mkuu bado una mentality ya kuwa nyumbani na ugenini mbona mpira siku hizi hauna hiyo. Mtu anapigwa popote pale akikaa vibaya.Big matches ambazo Chelsea wanajivunia wamecheza vizuri nyingi wamecheza nyumbani kwao, kuanzia Liverpool, Arsenal na City. Mechi ya Spurs ndo wameenda ugenini but at the end wakacheza na watu 8 uwanjani.
Of coarse tuwape sifa zao wamecheza vizuri ila kwa uchezaji wao ilitakiwa watoke na 3 points ukizingatia walikua na home advantage.. at the end wanaambulia 1 point.
Arsenal na sisi ni same scenario, kwa kucheza big matches nyingi nyumbani but tumefanikiwa kuchukua 3 points vs Man Utd na City, 1 point vs Spurs na ugenini tumepata 1 point vs Chelsea.
Swali je, Chelsea wataweza kucheza with the same intensity wakiwa ugenini against big teams?
City vs Chelsea
Arsenal vs Chelsea
Liverpool vs Chelsea
Hizi mechi zikipigwa 2nd round ndio zitatuambia walichokua wakijifunza kwa muda wote huo.
Utafurahia zaidi pale Nkunku atakapopona na kusimama pale mbele, huyu Wacko Jacko naona anawachelewesha tu.Timu yetu na ubovu wake , nimeanza kupenda tu kuona mpira wa kushambulia
Pochetino kaanza kubadilika polepole , ule ushamba wa back pasess kaacha ,sasa hivi vijana wanawasha moto
Pep anasema dogo aling’ang’ania kuondoka hata alipoambiwa kuwa Mahrez anasepa bado akataka kuondokaIla City bhana, yani wanaweza kukuuzia dhahabu hivi hivi..
Sasa ilikuaje wakamuuza Palmer, wakati angeziba vizuri pengo la De Bruyne.
Jamani si tuko nae misimu kadhaa tuone nini tena? Hapa amepotezewa kujiamini tu.View attachment 2812554
Dah! Raya hatokuwepo golini dhidi ya Brentford.
Haya, acha tuone Ramsdale alichonacho.
Jamani si tuko nae misimu kadhaa tuone nini tena? Hapa amepotezewa kujiamini tu.View attachment 2812554
Dah! Raya hatokuwepo golini dhidi ya Brentford.
Haya, acha tuone Ramsdale alichonacho.
Nyie kondoo hivi mna uwezo hata wa kumfunga City goli nne kweli? Au mpo hapa kudanganyana kuwa mna timu y kubeba ubingwa.
Ile mechi ya Carabao walimruhusu, japo alicheza RamsdaleView attachment 2812554
Dah! Raya hatokuwepo golini dhidi ya Brentford.
Haya, acha tuone Ramsdale alichonacho.
Umemsikia Jana ,kasema watauzia wachezaji timu nyingine ,kazitaja ,Arsenal haijatajaIla City bhana, yani wanaweza kukuuzia dhahabu hivi hivi..
Sasa ilikuaje wakamuuza Palmer, wakati angeziba vizuri pengo la De Bruyne.
Kwasasa kutuuzia Arsenal nasikia wamegoma kabisaIla City bhana, yani wanaweza kukuuzia dhahabu hivi hivi..
Sasa ilikuaje wakamuuza Palmer, wakati angeziba vizuri pengo la De Bruyne.
Weka na laminationMasingeli mbona siku hizi umekua mkali sana ndugu yangu?
Kuna hii hapa comment yako nimeihifadhi vizuri kwa matumizi ya baadae. View attachment 2812468
Nageuza hiyo picha still namuona nyumbu mkianiMtachukua manjesta ,huoni mnaongoza kundi lenu la UCL
Geuza msimamo mnaongoza kundiView attachment 2812462
Labda utumie hizi hesabu za std one zinaweza kukusaidia kuelewa:
Arsenal v City = 1-0 = (Arsenal 3 pts, City 0pts)
Chelsea v City =4-4= (Chelsea 1pt, City 1pt)
Kati ya Arsenal na Chelsea, nani kamfunga City?
Kwa KAI.. 🤣😂Aende tu unai kwa kipengele chenye masilahi na asenali pia maana kwa ninavyoiona asenali ya sasa emil hatoboi kwenye kikosi cha kwanza