Arsenal (The Gunners) | Special Thread

 
hii hoja ni Kama umemfukuza tu
 
Napata dilemma kwenye kuchagua upande, ushindi kwa Chelsea au City?

Natamani City apunguzwe kasi lakini nikikumbuka kelele za Chelsea basi nachoka kabisa.. Hawa kenge leo wagongwe tu, hakuna jinsi!

City tutapambana nae wenyewe.
 
Asenyetoz mna midomo sana ,na tunauza mechi leo kwa man city , hatuwezi kuendelea kuwatengenezea Kitonga majitu ya ovyo kama ninyi
 
Acha visingizio ,ninyi mechi ya Newcastle mlikandwa Tu ,Hamna cha matatizo ya VAR wala nini , ninyi ni lonyalonya ,siku hiyo mkikutana na vijeba chuma cha mjerumani
 
Kwangu mm Fofana all the way...
 
Acha visingizio ,ninyi mechi ya Newcastle mlikandwa Tu ,Hamna cha matatizo ya VAR wala nini , ninyi ni lonyalonya ,siku hiyo mkikutana na vijeba chuma cha mjerumani
Piga mdomo ila leo mpate matokeo...baada ya hapo mtaenda kucheza na hao vijeba mtoane manundu sisi hayatatuhusu....ila Leo tupo na nyny Sasa ole wenu mkandwe uone tutavyokuja kuwajazia nzi kwny jukwaa Lenu
 
Swali gumu sana hilo bro. Jamaa kahamia kule msimu tu. Hata kikosi chao Cha last season hakijui
 
Ila manyumbu wanaudhi sana na vishindi vyao vya kubahatisha 1-0. Yaani kwenye top 10 nzima wao wapo na negative goal difference na most 5 losses lakini wamo tu. Wanatakiwa wawe wa 14-15 huko
 
Umemuuliza swali gumu Sana ambalo hawezi kulijibu.
Huyu Labyrinth 84 Ni kondoo aliyepotea kazi kuzurura tu kwenye majukwaa ya watu na kujimwamba na hicho kitimu chake uchwara Cha nyukesto.

Huwa tunamuimbia kila siku kwamba hiyo Newcastle Ni timu ya kawaida Sana haina maajabu.Ushidi walioupata kimagumashi dhidi ya Arsenal tayari umewakarimu.

Huyu Ni wa kupuuzwa tu.
 
Anakuambia tuna Gordon...sijui Almiron mara yule mbeba matofali wao mara sijui Guimaraes mzee wa vipepsi...yaani ni kakikundi flani kamekaa kijanjajanja sana....vice captain wakifungwa akiulizwa anasema wana majeruhi wengi as if wale wengine hawana uwezo wa kucheza tena na vitimu vidogo kama Bournemouth
 
Acha aendelee kushupaza shingo Yake Lakini ukweli Ni kwamba Newcastle is just a mid table team.
 

Huyo Gordon ndo kakupiga kamba mpaka leo unaweweseka kwenye VAR , mbeba matofali labda nikuulize nitajie mchezaji aliyemzidi magoli huyu mbeba matofali hapo arsenal ?. Guimaraes ni chuma haswa aliwapiga chini mwaka ule mnataka na this time around akawala pira la kibabe .

Unajua maana ya majeruhi 11 wewe?? Na 2 suspended players , nyinyi aliumia mchezaji mmoja tu mkapoteana mazima sio europa sio ligi sio carabao sio Fa cup.

Tukiwa full fiti nadhani unajua matokeo yake au umesahau nikukumbushe
Hapa ni tukiwa half fit !!! Mlitakiwa mle chuma 3 tukiwa full fit .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…