makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,995
- 104,504
Yle jamaa yetu wa Nyukesto naona leo VAR na wao imekataa kuwasaidia🤠🤠🤠...newcastle wanafundishwa uko dhulma sio jambo jema
Mmeshinda kwa papatupapatu kwa Luton tayari ushaanza kuiona top 4Top foo ni kitu kidogo sana kwa Man Utd.
Masingeli anaiaminisha misukule ya humu kua CL ndio kombe rahisi kubeba kuliko makombe yote, nimemuuliza kama ni rahisi timu yako ya Arsenyau tokea imeanzishwa mpaka sasa hivi ina makombe mangapi ya CL?
Mpaka leo hajanijibu zaidi ya kuniwekea tu takwimu za Kai Harvez anavyo interchange position na kuwin duel.
mmh! 8 appearance hana hata goli la penaltyMmeshinda kwa papatupapatu kwa Luton tayari ushaanza kuiona top 4
Nyie mnachekesha Sana ,top 4 mnaingia kwa kumtoa nani
Wazee wakuburuza mkia UCLView attachment 2810960
Yaani Hawa Bournemouth wanavyocheza utadhani wao ndo wamefungwa wanatafuta goli la kusawazisha🤠🤠🤠...yle bwana mdgo huwa anatukosea sana kuja kubishana na kaka zake humu ndaniEti Newcastle ana consistency kuliko Arsenal
Kuna watu wanavuta bangi aisee
Timu inaburuza mkia UCL
Mpuuzeni huyo kengenewcastle wanafundishwa uko dhulma sio jambo jema
hahahaMpuuzeni huyo kenge
Hao mbwa ile nguvu walioitumia kwenye game dhidi yetu ni nyingi sana, kwa mtu ambae hua anafuatlia mechi zao sio jambo la kawaida kabisa,Eti Newcastle ana consistency kuliko Arsenal
Kuna watu wanavuta bangi aisee
Timu inaburuza mkia UCL
Unamuona nyukesto?Laiti Arteta angecheza na ile idea ( Kai, Rice, Vieira) pale middle tungekua vulnerable Sana
Tungekufa kweli
Castr
Yule forward wao baunsa sijui leo kwann hajacheza angewasaidia🤠🤠...na Bruno naye sijui kwann hajacheza...Man of the Match leo ni kipa wao...maana kawaokoa na aibu ya kipigo cha mbwa kokoHao mbwa ile nguvu walioitumia kwenye game dhidi yetu ni nyingi sana, kwa mtu ambae hua anafuatlia mechi zao sio jambo la kawaida kabisa,
Ile game tu ni kama walicheza game 5 kwa siku moja mpaka leo wapo hoi wachezaji hata game ya,Dortmund walikua hoi kabisa, ndo tatizo la kukamia game za wakubwa rejea game vs Man city nguvu waliyotuma japo walifungwa 1-0 game zilizofuata walipoteza game mbili mfululizo kama hiki hiki juzi wamepoteza na dortmond na leo karudisha chenji
Oya bro kwani ya mazoezin hayawekwi hapo?? au ndio hata mazoezini hapati goli.mmh! 8 appearance hana hata goli la penalty
Ninarudia tenaUnaongelea consistency mbele ya Newcastle na unaifananisha na westbrom kweli ? Hio case study mbona ya magumashi kiasi icho.
Ngoja nikufundishe kidogo hapa kwenye 10 last game za Newcastle ni hizi
1:Newcastle vs man city 1:0
2:Newcastle vs burnley 2:0
3:Newcastle vs PSG 4:1
4:westham vs Newcastle 2:2
5:Newcastle vs crystal 4:0
6:Newcastle vs Dortmund 0:1
7:wolves vs Newcastle 2:2
8:man utd vs Newcastle 0:3
9:Newcastle vs Arsenal 1:0
10: Dortmund vs Newcastle 2:0
Twende kwa Arsenal
1:Brentford vs Arsenal 0:1
2:Bournemouth vs Arsenal 0:4
3:Lens vs Arsenal 2:1
4:Arsenal vs man city 1:0
5:chelsea vs Arsenal 2:2
6:sevilla vs Arsenal 1:2
7:Arsenal vs Sheffield 5:0
8:westham vs Arsenal 3:1
9:Newcastle vs Arsenal 1:0
10: Arsenal vs sevila 2:0
Katika game 10 ume loss game 3 na Newcastle 2 sasa hizo midteam zilizomfunga Newcastle ni zipi?
The real definition of team ndogoUnamuona nyukesto?
Kimahesabu bora kenge ashindeThe real definition of team ndogo
City na Kenge I wish ianguke kati
Tatizo Kenge hawezi kujishikiliaKimahesabu bora kenge ashinde
Kesho inabidi wawe rafiki zetu hawa 😅Tatizo Kenge hawezi kujishikilia
Ata hiyo draw naona ni ngekewa tu