Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna rumours za Kai yupo sokoni January kwa 35M

Chelkenge wanachokipata sasa kwa Palmer ndicho walifikiri atakitoa Kai kipindi wanamsajili.
Umezitoa wapi hizi habari ,na ukaziamini

Kai auzwe,Ni mchezaji muhimu Sana

Wachezaji wanaotajwa kuuzwa Ni

Partey
Ramsdale

Na Smith Rowe kwa mbali
 
Huyo Ni mwenzenu ,vichaa kwasasa wanapatikana manjesta ,timu lenu lishawawehusha
 
Hii mid itadominatewa kirahisi. Unless kama hujawacheki Burnley wanavyocheza.

Fabio na Kai hakuna wa kuassist kukaba throughout the game.
Rice can do defensive man alone. Trust me
 
Hawa Wolves ni wazuri wamemaintain hii display nafikiri wanachomisi ni ST
 
Sijasema hawez ,nimesema Rice Ni LCM mzuri kuliko Luiz,

Ndio maana hata Partey , Jorginho ,ukitaka uwachezeshe na Rice ,uta opt Rice acheze LCM,sababu atakupa mahitaji yote ,tofut na umeweke Jorg au Partey as LCM ,
Ok, tuweke sawa hii kitu, unachosema ni kwamba Rice akianza pamoja na Luiz basi Luiz atacheza kama #6, si ndivyo?
 
Tukiingia hivyo, means hatatakiwa kupanda Sana mbele
Kumbuka timu type za Burnley inabidi uwe more offensive
Burnley anacheza kumiliki mpira na analenga kudominate, so sioni haja ya kumtest na uwepo wa Kai na Vieira kwenye mid coz kawa na 60+ possession against Palace, Nyumbu na Everton.

It will be interesting kuiona idea yako in action
 
Ukisema lone 6 asiwe anapanda sijui apewe kipande kidogo cha ku cover nakuwa sielewi, sababu moja ya kazi yake ni kuleta structural compactness, timu inapo move naye amove kufanya system iwe compact, in any settled attacks...most ball circulation inafanywa na lone 6, hivyo ni lazima tu apande juu inapohitajika , Guardiola & J20 ni wazito lkn wamefanya hii kazi( make the system compact, circulate the ball as much as possible), sijui nyie mpira huwa mnaangaliaje wenzetu. Kwangu mimi Luiz ni LCM, at villa anacheza upande wa kushoto wa double pivot, Ana uwezo wa kufunga magoli, technically good enough, ball striking, kwanini asicheze lcm, then our best #6 akaendelea ku persist kwenye position inayomsuit best?
 
Burnley anacheza kumiliki mpira na analenga kudominate, so sioni haja ya kumtest na uwepo wa Kai na Vieira kwenye mid coz kawa na 60+ possession against Palace, Nyumbu na Everton.

It will be interesting kuiona idea yako in action
Hii idea utaiona kipindi Cha pili
Mostly Arteta ataingia Kama alivyoingia na sevilla
 
Tia Fofana, tia Zubimendi, tia Luiz, tia Toney, watakavyocheza kocha anajua
Hiko kibunda cha hvyo hakipo mkuu🤠🤠🤠....FFP watatafuta sababu ya kupita na ww...napenda zaidi tumpate Fofana na Toney tu...then misimu inayofata ni kufanya usajili wa mchezaji mmoja tu...Partey aondoke na Jorginho...lakini ningependa kuona Elneny akibaki
 
Huyu kiungo wa Wolves anaeitwa Bellegarde anaubonda mwingi sana.

Yuko versatile, anazima LCM/RCM na AMF vizuri, ana work rate nzuri mno.

Watu wa kazi kama hawa utakuta wanakuja kusajiliwa kwenye timu kama Spurs halafu tunaanza kutoleana macho.
 
Mi kuna wakati nafikiri hua kuna kuwa na makubaliano ya siri baina ya vilabu kwenye kuuziana wachezaji, hasa arsenal na Chelsea. Arsenal wamenunua wachezaji wengi tu wa kiaina kutoka Chelsea
 
Bukayo Saka starts.

Trossard keeps his place ahead of Nketiah.

Zinny and Tomiyasu on the flanks.

No Ben White in the squad.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…