Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Hapana UCL unamtumia vzr tu, walibadili Sheria
Oya hii kitu haiwezekani ,timber akipona majeraha yake anaweza kuicheza vema sana role ambayo rice yuko nayo kwa wakati huu..
kama partey akiondoka.. basi mid iwe ya timber ,rice na ø.
arteta awekeze nguvu zaidi katika kusajili winger na mtu anaeweza kusimama mbele pale na kufunga mabao kwa chances chache atazopata.
Nisikudanganye NiniHamis usitudanganye hatuwezi chukua kombe la maana kama hatuna CF, Gabriel jesus unamuhesabia ni mchezaji wa kutegemea? hawezi kucheza mechi tatu mfululizo na hata akicheza hafungi.
Utaambiwa anacreate space, sasa yeye aki-create space wakina Odegaad wafanye nini?
Ushawahi kuona Kane anasifiwa ku-create space? Halaand? Lewandowisk?
Tunahitaji straiker kariba ya Victor Osimhen mtu ambae anaenda uwanjani kwa lengo la kufunga na sio ujinga mwingine.
Tukipata na mido kariba ya Partey akiwa mzima 100%.
La sivyo tuwe wapole tuu au tusubirie man city ajikwae ndo tunaweza fikiria kombe.
OkeyHapana UCL unamtumia vzr tu, walibadili Sheria
Yah kwasasa unamsajili mchezaji anacheza tu Haina tatizoA player could play for two different clubs in the group stage and the knockout rounds of the Champions League, or the Europa League, in the same season. Players could switch between competitions in the past, but not stay in the same one with a second team.
Bodi ya Arsenal wanasema target Yao no.1 kwasasa Ni Douglas LuizOkey
Frank de jong
Zubimendi
Tchoumeni
Douglas Luiz
2 of them
Uhalisia upi?Nisikudanganye Nini
Mimi naongea uhalisia ambao Kutoka vyanzo vya uhakika kuwa Arsenal haitasajili CF ,Bali watawekeza pesa kwa Kiungo
Unasema nisikudanganye, hivi mnatumiaga akili kweli?
Liverpool ya klopp imetamba sana bila CF ,Pep kasumbua misimu minne bila CF
Mifano Ni mingi Sana ,
Tumia akili ndogo tu,huwez kuwekeza pesa kubwa €100m kwa CF wakati kiungo Kuna shida ,Partey injury,Jorginho na Elneny wanaondoka
Kipaumbele kwasasa sio CF,
Ndio Yale Yale ya Simba kusajili mawinga10 huku kiungo hakuna au ya manjesta kusajili Anthony kwa €100m, casemiro mzee kwa €70m huku huna beki za maana
Angalia kipaumbele Ni Nini
Arsenal Ni moja ya timu 5 , Ulaya Ligi 5 kwakufunga goli nyingi
Timu Ni backline na viungo, magoli anafunga yoyote,
Una Kai, Jesus , Trosaard na Nketiah unataka January waachane na Kusajili kiungo waongeze CF,
Huyo CF atakuwa Kila nafasi anapewa yeye tu?
Tunahitaji CF but sio kipaumbele kwa January ,
Kuna mdau humu alisema huyu ni partey mweusiArsenal sent scouts to watch Real Sociedad's 24-year-old midfielder Martin Zubimendi during the club's Champions League game against Benfica on Wednesday.
(Source: 90min)
Jesus anatuangusha na majeruhu yake, ana umuhimu mkubwa sijui kama analijua hilo jambo.Tatizo braza Jesus anaumiaumia sana sasahv...anatukwamisha hapo tu...ndo maana tunahitaji CF wa uhakika maana Nketiah ni kama mwezi mchanga hivi....kama watasajili kiungo maana yake tuendelee kutegemee contribution ya magoli kutoka sehemu zte uwanjani...ila ngoja tuone mpk January tutakuwa nafasi ya ngapi pale juu
Namkubali zaidi camavinga.Okey
Frank de jong
Zubimendi
Tchoumeni
Douglas Luiz
2 of them
Hakuna sehemu nimesema tunachukua UCL , mbona mnakurupukaga hivoUhalisia upi?
Sijakupinga unaposema maswala ya arsenal inataka kusajili kiungo au CF.
Nachosema ni usitudanganye tunachukua UEFA kwa kumtegemea gabriel ambae mda mwingi yupo wodini.
Hata huyo Tchoumeni kumtoa pale Madrid at the moment ni impossibleNamkubali zaidi camavinga.
Flano na genge lake ambao nawaita KENGE GANG wakija hapa watakubishiaHakuna sehemu nimesema tunachukua UCL , mbona mnakurupukaga hivo
Toka hata makundi hayajapangwa ,nimekuwa nikisema group letu tutamaliza na ponits 15-18
But Kama tutafuzu na kuongoza mapema kundi tunàweza maliza na 12-15
Nikasema mwaka huu tunacheza Wembley sababu Timu nyingi UCL hazina ubora huo ,nikatoa na mifano dhahiri kabisa
Nikasema kwa UCL anayeonekana msumbufu kwa timu yetu Labda mancity ambaye tumecheza nae dakika 180 amepata shots on target 1
Nikasema Nusu fainal uhakika ,ili kucheza fainal tunahitaji ongezeko la viungo tu ,hasa Partey awepo na Timber ,
Siku kadhaa mbele ,Opta ,na makampuni makubwa ya takwimu yakasema Arsenal Ni timu ya 4 inayopewa nafasi kubeba UCL
Tena Madrid na Bayern wanakaa juu ya Arsenal sababu tu ya uzoefu Lakini sio kwamba wanaizid Arsenal Quality
Na ndio uhalisia ambao niliuona
Kwa Sasa sio Siri kupata On target kwa Arsenal ufanye kazi haswa au usubiri VAR ikusaidie
Hapo naongea hayo tuna injury Kama 5 za first team
Ndicho makampuni makubwa ya kukusanya takwimu, Simulation computer ,n.k yakaja kuthibitisha kile nilichokisema
View attachment 2809673
Nimezungumzia kumkubali, si kumpata, jamaa namuelewa mnoo. Najua kumpata si jambo rahisi.Hata huyo Tchoumeni kumtoa pale Madrid at the moment ni impossible
Camavinga ndio hagusiki kabisa
Kuna valverd pia, hagusiki