Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kumuwekea Martinelli beki mmoja ni kama kumuwekea Mbappe beki mmoja, kwa level waliyofikia Saka na Martinelli huwa hawakabwi na mchezaji mmoja, huwa wawili na wengine huweka hadi watatu, hata Newcastle wanafanya hivyo.
 
Unatucheka United kwenye jukwaa la Arsenyani?
Twende Unyumbuni ukatusimange vizuri.
Huwa mnakuja humu kutusagia kunguni...tunawakaribisha mje vijana wetu tuongee hmu...hili ndo jukwaa kuu kwa watu wa timu zte....unabisha ngoja tembo akae juu ya tawi pale utaona zengwe litakavyozidi kutoka pande zote
 
Kama umeamka salama njo tuwacheke Manchester United.
View attachment 2808406

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu dogo aliyepiga msumari wa mwisho ni mzuri sana haswa akiwa na ball, kwa umri wake 17, kama anapata kocha mzuri, atakuja kuwa player zuri zaidi, kasumbufu saana, kanatokea kulia na mguu wake wa kushoto na kanapenda kupiga.
 
Huwa mnakuja humu kutusagia kunguni...tunawakaribisha mje vijana wetu tuongee hmu...hili ndo jukwaa kuu kwa watu wa timu zte....unabisha ngoja tembo akae juu ya tawi pale utaona zengwe litakavyozidi kutoka pande zote
Swala la tembo kukaa pale juu msimu huu msahau kabisa, ile ngekekewa mliyoipata msimu ulioisha ya kukaa kileleni siku 258 halafu mkamaliza ligi mikono mitupu haijirudii tena.
A golden chances never come twice.
Mwambie Masingeli huko unyumbuni watu tunamsubiri kwa hamu akatupee yale maneno yake ya faraja.
 
Kumuwekea Martinelli beki mmoja ni kama kumuwekea Mbappe beki mmoja, kwa level waliyofikia Saka na Martinelli huwa hawakabwi na mchezaji mmoja, huwa wawili na wengine huweka hadi watatu, hata Newcastle wanafanya hivyo.

Hivi kumbe livarmento ni wachezaji 2 pale Newcastle au huyo martineli ha kuonekana kabisa huyo saka ndo kabisa.

Mnacheza na vibonde mnashangilia kweli kweli ngoja Moutanโ€™s na wanaume matusi yanakuwa mengi
.
Leo husikiii Jorginho akilalamikiwa FALSE HOPERS.
 
Asenali msimu huu pale juu hapamstahili kwa sasa ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† labda apate watu wa uhakika kwenye eneo la ushambuliaji ....

Muda si mchache kuna weza kukawa na ligi kuu tatu ndani ya ligi moja.

1.Manisitiii akawa anajifukuza peke yake pale juu.

2.Ligi ya kwenda michuano ya yuefa na naona ndio itakayokuwa na asenali,tot,liver,man u,nyukasto,chelsiii,aston vila,braiton,west ham kidogo fulham,brentford na wolves ila hao wote wataparuana vibaya sana yaani piga nikupige๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

3.Kubakia ligi kuu huko kwakina burnley,luton,shefidi n.k
 
Kaka sevila anatafuta nafasi ya yuropa ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† yule asenali wasijisifu sanaaaaa kwa ushindi ule,

Arteta, 16 bora asipobadilika sidhani kama atatoboa kuna uwezekano mkubwa akatema bungo๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† na akipenya hapo robo fainali kituo bayern/barcelona/real madrid/atletico ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Kumuwekea Martinelli beki mmoja ni kama kumuwekea Mbappe beki mmoja, kwa level waliyofikia Saka na Martinelli huwa hawakabwi na mchezaji mmoja, huwa wawili na wengine huweka hadi watatu, hata Newcastle wanafanya hivyo.
We kondoo acha kuongopea Uma.
 
arteta kaitengeneza timu ambayo kuifunga kwa kufanya build up kuanzia nyuma ni ngumu.

timu nyingi zitakazocheza aina hiyo ya mpira ;kupata matokeo mbele ya arsenal haitakuwa kazi rahisi.

arsenal itafungwa na timu zinazoshambulia kwa haraka na bila kupanga kwanza mashambulizi kwa kuanzia nyuma hususani pale arsenal itapopoteza mpira.
 
Hawa kondoo wazoee, wakishinda tumechi tumoja hizo sifa wanazomwagiwa wachezaji utafikiri mpira wanaangaliaga wenyewe. Ngoja wafungwe sasa!! lawama ni kwa Jorginho na VAR.

Hao wachezaji hata game la Chelsea waliwekwa mifukoni vizuri tu. Leo unaambiwa hawakabiki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kushabikia Arse88 ni nusu ya uchizi.
 
Umefufuka leo๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿค ...mnaendeleaje huko kundini watoto wadogo...na mkijichanganya kwnda Ueropa kule ndo kuna watu wa kazi zaidi...
 
Kwhyo alianza mashindano kwa target ya kwnda Ueropa๐Ÿค ๐Ÿค ...ushabiki mbaya sana...wacha nikupe hii...kuna timu mbili za England mechi zijazo zitafuzu kwnda hatua ya 16 Bora....alaf kuna hzo timu mbili nyingine Sasa...kuna kamoja kataenda Ueropa halafu kuna kamoja katatupa taulo kabisaa yaani hakatotaka tabu....malizieni ni kina nani hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ