Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndio mana nikakuuliza nafasi ya ngapi inasaidia nini kwa sasa? Kama msimu uliopita mlikaa top msimu mzima mkaambulia mikono mitupu sawa na chelsea, haina maana kujitapa wkt tunawajua.
View attachment 2802189Mfukuza upepo umemuona?
Tuelewe kwanza tunaongea na watu wa aina gani....hvyo tu....zikianza habari za UEFA champions hmu huwa nakaa kimya...why??...simple kwasababu kule sina cha kuongea tangu lile kombe limeanzishwa sijafanya chchte....ila hku ndani kwakwli tutazungumza vzuri tu...kwni kama ni rahisi kukaa pale juu kwnn nyny bdo mko chinichini hko mnapigana vikumbo na kina Wolves...its simple ni kwasababu hamna uwezo wa kukaa pale...yaani kwasasa ninyi ni miongoni mwa vile vitimu vdogo....ratiba yenu mpk mje kukutana na Manunu mtakuwa nafasi ya 16-17 huko....
 
Yule Kieran Tierney alitolewa mkopo kwa nini sasa tunastruggle?
Changamoto kubwa naona kiungo, na hii inatokana na majerui yanayojirudia kwa anko Tom partey

Changamoto inayofata ni kukosa consistency kwa forward wetu
Kama Nketiah leo anakufurahisha, mechi tatu zijazo tunatakani auzwe

Defence yetu ipo strong zaidi ya mnara wa babeli
 
Arteta asipobadili kamfumo moyezi ataendelea kumfunga tu😆😆😆,amuulize di zebi moyezi ni nani,.

Braiton,Westiamu,Nyukasto,Blentifodi,Wolvzi ndio zitakazomponza Arteta anawachukulia poa.

Mfumo wa arteta akiviziwa tu kwa kuzuiwa na kukimbizwa kufunga hachomoi.

Ila kai ndio basi tena 😆😆😆 ni mchezaji wa kuingia dk 60-70 tu kama bigijiiii tu.

Nelson kijamaa kiwango hakieendelei,,nketia ndio fowadi la timu basi😆😆😆

Ila Arteta kaitoa aseno mbali kweli.

Kesho santi jemsi paki ni 🏌🏿‍♀️
 
Huwezi kutegemea ubingwa kwa straika nketiah yaan solution ni wamwage pesa mwez wa 12 tupate straika wa maan huwez kumchukua harvetz et awe straika ni utopolo mtupu kwa arsenal bado hatuwez kubadili mambo scouting ya wachezaj ni mbovu saana
 
Nao hapo kushoto beki haitulii kabisa, natural defender ni Kieran Tierney, mara Tom, mara nani, Zinny palishamshinda angekaa kiungo tu.
 
The Red Side of London understand Martin Zubimendi to Arsenal is getting closer. #AFC


With Real Madrid being adamant they won't let go on French starman Aurelien Tchouaméni, the Gunners have fully turned their attention to Real Sociedad main man and are now in advanced stage. Personal term between club an player already agreed. The Spanish midfielder have accepted an offer to play for Arsenal and could join next season.

Zubimendi was on the Gunners radar for the January transfer window but he was reluctant to leave Sociedad due to their Champions League pursuit.

The midfielder has a £52m release clause in his contract but the Gunners could propose to sign him via a long-term payment plan rather than paying the fee up front.
 
Pochettino says in his presser that he would never ever manage Arsenal or Barcelona.
 
Sisi Manyumbu tulikunywa chupa 3 za Castle light, nataka kujua Li Supercomputer limewatabiria Arsenyo kunywa chupa ngapi za Castle lager?
Kesho sogelea mapema luninga yako...na nakuhakikishia utaondoka unasonya😀😀😀
 
Pochettino says in his presser that he would never ever manage Arsenal or Barcelona.
Mpira anaofundisha poche na hivyo vilabu ni mbingu na ardhi

Newcastle tumpige tatu kavu wewe unaonaje mzee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…