arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Tuelewe kwanza tunaongea na watu wa aina gani....hvyo tu....zikianza habari za UEFA champions hmu huwa nakaa kimya...why??...simple kwasababu kule sina cha kuongea tangu lile kombe limeanzishwa sijafanya chchte....ila hku ndani kwakwli tutazungumza vzuri tu...kwni kama ni rahisi kukaa pale juu kwnn nyny bdo mko chinichini hko mnapigana vikumbo na kina Wolves...its simple ni kwasababu hamna uwezo wa kukaa pale...yaani kwasasa ninyi ni miongoni mwa vile vitimu vdogo....ratiba yenu mpk mje kukutana na Manunu mtakuwa nafasi ya 16-17 huko....Ndio mana nikakuuliza nafasi ya ngapi inasaidia nini kwa sasa? Kama msimu uliopita mlikaa top msimu mzima mkaambulia mikono mitupu sawa na chelsea, haina maana kujitapa wkt tunawajua.
View attachment 2802189Mfukuza upepo umemuona?