arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Endelea kuropoka mpk hyo Jumamosi....nasikitika sana Isack hatakuwepo maana mtasingizia yule ngongoti wenu...ila uwezo wa kutufunga nyny hamna....wacha siku ifike halafu uone kwnn upo nafasi ya 6Vipi lakini westham matokeo ngap ngap nembu tupe uchambuziii
Wewe ndo ulisema Newcastle ni westham iliyochangamka na tayariii mmekula pakiti moja ya ndomu sasa subiri pakiti 2 ziiishe jumamosi
Mwaka jana mlishikilia bomba Emirates mkajiona mmewiva....ila kwenu ngoma ya kitoto haikukesha....Sasa Jumamosi tunakuja kuwatembelea tuone mtakavyocheza huo mpira....Endelea kuropoka mpk hyo Jumamosi....nasikitika sana Isack hatakuwepo maana mtasingizia yule ngongoti wenu...ila uwezo wa kutufunga nyny hamna....wacha siku ifike halafu uone kwnn upo nafasi ya 6
Uwezo wa kutufunga nyny hamna...hamna kabisa....na wale West Ham sijui ratiba ya ligi ni lini tunacheza nao tena....natamani tuanze palepale kwao na ule mpira wao wa kupaki basi halafu tutakuja kuulizana vzuri imekuwaje.....hatuna utamaduni wa kufungwa mechi mbili mfululizo....sio jadi yetu hyo ni Tabia ya kina Manunu na Chelkenge sio ssSasa westham kawala vitatu vya maana ndo ije iwe sisi, subiri kaa mkao wa kupakatwa jumamosi
Kwani jana hawakuovalodi kiungo na kuintachenji pozisheni?Vipi lakini westham matokeo ngap ngap nembu tupe uchambuziii
Wewe ndo ulisema Newcastle ni westham iliyochangamka na tayariii mmekula pakiti moja ya ndomu sasa subiri pakiti 2 ziiishe jumamosi
Unafananisha mechi ya ligi kuu na Carabao kwli???....baada ya wachezaji wa kawaida wanaocheza Kila siku kuingia hao West Ham walicheza mpira gani tena....halafu hatujacheza nao kwny ligi tutarudi kwny ule uwanja wao tuone watachezaje....nyny jana mmecheza na maiti ilojifia kabisa mnaona mna watu....uzuri Jumamosi hapo tunakutana tuone Guimaraes atakavyocheza
Endelea kuropoka mpk hyo Jumamosi....nasikitika sana Isack hatakuwepo maana mtasingizia yule ngongoti wenu...ila uwezo wa kutufunga nyny hamna....wacha siku ifike halafu uone kwnn upo nafasi ya 6
Kwani jana hawakuovalodi kiungo na kuintachenji pozisheni?
Msimu huu hawa jamaa watamaliza mikono mitupu, halafu kuna jamaa ataanza kuwadanganya kua hii ni phase 4, makombe wataanza kubeba rasmi kwenye phase 5View attachment 2801335
Kaangalie forward butu Nketiah ana goli ngapiNgongoti sio nitajie mchezaji yeyote wa arsenal anayemzidi magoli hapo kwenuView attachment 2801345
Kufungwa sio shida ila kufungwa tatu tena na west ham mbaya zaidi.
Daah sasa hi kauli ya kuitwa false hopers,,nimeanza kuilewa.
Binafsi ntaamini arteta ni kocha wa makombe mpaka tubebe hasa long tournament kama uefa,epl na ueropa..
Daah toka kuzaliwa mpka leo sijawahi kufurahia vikombe vya mbuzi sijui carabao fa those are shit cup
Fu#ck arsenal but i love it.
West Ham sio wabaya tena kwa line up kama ile ya jana...magoli mawili ni mistake za wachezaji...inatokea na watu wanajifunza....mechi ijayo hutamuona Zinchenko akianza na wala hutamuona Georginho....watacheza watu wanaojua kukaba...jana Hawa wawili walichangia kwa kiasi kubwa kufungwa kwetu....Kufungwa sio shida ila kufungwa tatu tena na west ham mbaya zaidi.
Daah sasa hi kauli ya kuitwa false hopers,,nimeanza kuilewa.
Binafsi ntaamini arteta ni kocha wa makombe mpaka tubebe hasa long tournament kama uefa,epl na ueropa..
Daah toka kuzaliwa mpka leo sijawahi kufurahia vikombe vya mbuzi sijui carabao fa those are shit cup
Fu#ck arsenal but i love it.
Ww piga Domo ila nafasi yako ni hyo ya 6 na utamaliza wa 7 huko....huna uwezo wa kupanda pale juu na huo mpira wako wa butua mbele tufukuzane....uzuri ni kwmba siku zinakaribia....utaeleweshwa vzuri kwnn ww bdo ni mdogo....statistically ukiangalia Dortmund ni timu inayofunga na kufungwa sana magoli lakini wamekuja siku ile wakaficha mpira tukabaki kuona mnazurura tu....Sasa nyny Jumamosi tunakuja kurudia tulichokifanya mwaka janaHii ya false hopers haitakii hata jukwaa la jamii check lithibitishe hili yaani ni matumaini bandia kwa kwenda mbele .
Ningequote baadhi ya false hopes sema nilipigwa marufuku maana ilionekana kumquote mtoa false hopes nitamsababishia trauma
Sasa kama ni hivyoo hii arsenal si tayariii imeshampa trauma sugu
Mechi ya jana kwa aina ya forward kama Kudus haikumfaa....maana kukaba ni mbaya....na huo ndio ukweli....West Ham wanacheza kama Sevilla tu....ndo maana nilitoa mfano jana kama angeaza na Sevilla pia tungefungwa goli kutokea upande wake uleule maana watu washajua kukaba haweziKwahiyo leo hii zincheko amekuwa si first 11 au unataka tukuonyeshe mlivyokuwa mamnasema arsenal bila zincheko
Ni sawa na Isack tu...mbio nyngiii ila nguvu Hana....vipaja kama vya panzi...Sasa akikutana na mabeki wenye Kasi na nguvu....anafichwaMechi ya jana kwa aina ya forward kama Kudus haikumfaa....maana kukaba ni mbaya....na huo ndio ukweli....West Ham wanacheza kama Sevilla tu....ndo maana nilitoa mfano jana kama angeaza na Sevilla pia tungefungwa goli kutokea upande wake uleule maana watu washajua kukaba hawezi
Kaangalie forward butu Nketiah ana goli ngapi
Ni sawa na Isack tu...mbio nyngiii ila nguvu Hana....vipaja kama vya panzi...Sasa akikutana na mabeki wenye Kasi na nguvu....anafichwa
Kuhusu nyukesto kua westham yenye hela huo siyo uongo. Yaani pamoja na hela zote kocha wa kuiepeleka nyukesto kwenye level za elites hawezi kua Howe kwa 100%.Vipi lakini westham matokeo ngap ngap nembu tupe uchambuziii
Wewe ndo ulisema Newcastle ni westham iliyochangamka na tayariii mmekula pakiti moja ya ndomu sasa subiri pakiti 2 ziiishe jumamosi