Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I wish Kai aione hii comment yako
Arteta sidhani Kama atakubali kumvumilia Kama nae atakua hivi hivi

Arteta ndio aliemleta Ramsdale. Leo anasugua bench Raya takin over

Kai inabidi alijue hilo
 
Hehehe tumefungwa carabao hadi shabiki wa nyukesto kaja.

Juzi tunamuita anapita kimya kimya

Wewe team huna
ile kauli mbiu ya carabao mnalitaka rasmi imethibitishwa kuwa ni false hope .

Kuna ile kauli inasema “ muda utaongea “ naona ushaanza kuongea sasa tayariii carabao out , wazee wa kikosi kipana jana mmechezea 3 na kikosi chenu cha overplaying.

Newcastle jana wamecheza watoto wote na mtu kachezea za kutosha huku mshaanza kushikana mashati sijuiii kwanini rambo kacheza mara kai anakula matusi mara arteta kachoma kapanga kikosi kibovu yaani bado mpaka tufike may mtakuwa mshasemaaa
 
Mwisho wa msimu hawa false hopers wataanza kutukanana humu, halafu kuna wengine watajipiga Ban.

Before match utasikia kikosi kipana mara overplaying mara jezi zirushwe juu.
After match zinaanza lawama mara ooh kai mara injuries sijuiii angekaaa partey
.

Sisi kazi yetu ni kuhesabu tu
1. Carabao cup
: FALSE HOPE
2:EPL loading : FALSE HOPE
3: UEFA loading: FALSE HOPE
4: FA Cup : FALSE HOPE
 
Kuna wahuni humu waliwaaminisha wenzao msimu huu Arsenyo anachukua Treble, lakini muda huu wamejificha kama vile hii timu haiwahusu. View attachment 2801298
Ongeeni ndugu zetu....ni wakati wenu huu🤠🤠🤠....tumetolewa na West Ham....waliitawala na kuitaka mechi zaidi yetu...ila msijipe matumaini saaaana🤠🤠🤠....kombe limebaki mikononi mwa Liverpool watalichukua maana sioni mtu mwingine wa kulibeba....yamebaki matatu tutabeba mojawapo🤠🤠🤠
 
Havertz has huge potential and can perform in high level in AFC .
Si mashabiki si makocha wanaongoza kwa kupeana false hope , cheki hapa arteta anawapa false hope vijana wake
Ww ropoka yte ila Jumamosi tunawafata mje tuone mtakavyotufunga🤠🤠🤠...bdo hamna timu ya kusumbua kabisa....watoto wadogo sana nyny
 
Habari ya kusema tukimamiza kwny top 4 basi na ww utakuwepo sahau mkuu🤠🤠🤠...Labda kama refa atarudi kuwa Howard Webb acheze mechi zenu zte zilizobaki...nyny na Chelsea mtafuatana kama Bibi na bwana...mmoja nafasi ya 10 mwingine ya 11....hzo ndo nafasi zenu
 
Ww ropoka yte ila Jumamosi tunawafata mje tuone mtakavyotufunga
...bdo hamna timu ya kusumbua kabisa....watoto wadogo sana nyny

Vipi lakini draw na westham ulipiga kelele sana
kiko wapi ?

Taarifa ndogo tu nikupe jana game yetu ya jana kulikua na madogo janja zaidii ya 9 uwanjani na ball limepigwa lakutosha bado hapo majeruhi tulikua nao kama 6 hivi kina isak, murphy, barnes, tonali & botman
 
Sasa nyumbu si tulikubaliana wanafungwa hata na Gwambina? Na jana kocha wao kasema ni kweli yeye anasubiria muda tu
 
Masingeli anawaaminisha misukule pamoja na chawa wake kua kombe rahisi kuliko yote kuchukua ni Uefa, mimi nikamuuliza kama Uefa ni kombe rahisi kubeba haya tuambie tokea kuumbwa kwa Dunia Arsenyau amebeba makombe mangapi ya Uefa?
Mpaka leo hajanibu naomba wewe chawa wake umsaidie kujibu hilo swali jepesi.
 
Sasa nyumbu si tulikubaliana wanafungwa hata na Gwambina? Na jana kocha wao kasema ni kweli yeye anasubiria muda tu

Vipi lakini westham matokeo ngap ngap nembu tupe uchambuziii


Wewe ndo ulisema Newcastle ni westham iliyochangamka na tayariii mmekula pakiti moja ya ndomu sasa subiri pakiti 2 ziiishe jumamosi
 
Unafananisha mechi ya ligi kuu na Carabao kwli???🤠🤠🤠....baada ya wachezaji wa kawaida wanaocheza Kila siku kuingia hao West Ham walicheza mpira gani tena🤠🤠🤠....halafu hatujacheza nao kwny ligi tutarudi kwny ule uwanja wao tuone watachezaje....nyny jana mmecheza na maiti ilojifia kabisa mnaona mna watu....uzuri Jumamosi hapo tunakutana tuone Guimaraes atakavyocheza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…