Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,844
- 16,298
Unaona Sasa unamuita mwenzio chawa kisa hakubaliani na mawazo yenu
Mimi Ni Paroko ,ukiona natukana umeeenda mbali Sana
Sasa huyo mkohoti huwa anasema Ben White aliondoka NT sababu Ni firauni ,sio Mara moja,mtu Kama huyo inabidi ajibiwe kiulaloulalo .
Mimi nashinda jukwaa la manjesta Sana ,huwez kuta natukana hata jukwaa Lao la Chelsea ,kwani nan asiyejua James wa Chelsea Ni shoga.
Hakuna anaebisha kua wewe ni Paroko wa parokia ya Arsenyani ila pia mtu akikujia kihunihuni unaweza kwenda nae hivyohivyo kihunihuni, ila ndugu yangu Castr yuko very humble mnapomuingiza kwenye mabishano ya matusi ni kama kumuonea tu huyu mtu wa Mungu.