Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bukayo Saka has come in 24th in this year’s Ballon d’Or rankings.

Martin Odegaard was 28th.
 
Hili boya castr kuna kipindi westham akiwa anacheza linanitag eti will Jr tukae tumuangalie Rice ubora wake, nikawa najiuliza huyu vipi, yani niache kufanya ishu za msingi nimuangalie Rice kukuridhisha we fala kisa eti tubishane.
Tulishasema mtu apigwe kutokana na uwezo wake, kama hujui upigwe tu, wanafki wa Arsenal kuisupport united wote kimya, yani upo serious unasema united ashinde dhidi ya City! Hujui mpira wewe? Au ndio miujiza ya kwenye bible?
Nilikua najiuliza mwanangu Will Jr siku hizi ameokoka mbona hili jukwaa kama limeanza kustaarabika.
Ila Will kwa Castr unamkosea sana, katika mashabiki wa Arsenal ninaowakubali Castr ni mmoja wao jamaa yuko very matured, hua tunataniana kimpira lakini sijawahi kumuona anaongea lugha za hovyohovyo humu ni mtu ambae anajiheshimu hata sisi mashabiki wa timu nyingine tunamheshimu sana.
Will Jr siku ukijisikia kuchachuka mtafute Masingeli
ndio uende nae toe to toe maana na yeye uhuni anaujua, ila watu watakatifu wenye kaliba ya Castr ni kujitafutia laana tu na madhambi mbele za bwana.


#Arsenyo Kondoo
#Nketiah kiatu
#Kai Balon D'or
 
Wachezaji wa 28 hukoo,Halafu huwa mnajidanganya hakuna kikosi chenye wachezaji kama Arse888. Mkishinda vimechi viwili vitatu, mpk halland unaambiwa haingii kw Jesus, aisee nyie kondoo mmerogwa.
Endelea kuongea pumba ,mwaka huu mpaka muende nafasi ya 15 ili uache kuropoka humu jukwaa la Arsenal ya maziwa na asali

Pale ukengeni mchezaji gani anaweza kuingia hata Top 200 ya Ballon d'Or?


Arsenal tunawachezaji watatu most valuable duniani narudia Duniani

NOTE: CHELKENGE MSIMU HUU MTAGOMBEA KUSHUKA DARAJA
 
Oya Mimi kutukanana ngumu sana labda uvuke mipaka na Mara kadhaa huwa na ignore ,

Hata jukwaan kwenu nawacharura huwez kuta natukana

 
Acha uongo, wapi alikufira?

Arsenal wenyewe walimwambia arudi ,hawezi kuitwa halafu anakaa benchi tu
Masingeli acha matusi basi, watu tunakemea matusi humu halafu wewe badala ya kusimamia nidhamu ndio unaanzisha matusi shame on you.
 
Masingeli acha matusi basi, watu tunakemea matusi humu halafu wewe badala ya kusimamia nidhamu ndio unaanzisha matusi shame on you.
Oya sijatukana ,umemskia anachosema Mkohoti ,eti Ben White Ni firauni, ndio nimemuuliza

Sisi Wana Arsenal tunajua White hapendi kuitwa halafu hapewi dk ,ndio maana aliondoka NT,

Sasa huyu Mkohoti inabidi ajibiwe Kama alivyokuja
 
Masingeli acha matusi basi, watu tunakemea matusi humu halafu wewe badala ya kusimamia nidhamu ndio unaanzisha matusi shame on you.
Umenisahau na mm mkuu😀😀😀...huwa nna ustaarabu sana ila napenda kubishana
 
Oya sijatukana ,umemskia anachosema Mkohoti ,eti Ben White Ni firauni, ndio nimemuuliza

Sisi Wana Arsenal tunajua White hapendi kuitwa halafu hapewi dk ,ndio maana aliondoka NT,

Sasa huyu Mkohoti inabidi ajibiwe Kama alivyokuja
Ungemuuliza kwanza ufirauni wa Ben ni upi?
Sasa wewe ndugu yangu moja kwa moja unaongea mineno ya ukakasi humu si bora hata ungetumia tafsida, mnatukwaza sana sisi watu wazima wenye heshima zetu.
 
Ungemuuliza kwanza ufirauni wa Ben ni ipi?
Sasa wewe ndugu yangu moja kwa moja unaongea mineno ya ukakasi humu si bora hata ungetumia tafsida, mnatukwaza sana sisi watu wazima wenye heshima zetu.
Haina haja ya kumuuliza ,sio Mara ya kwanza ,wapo watatu ,mwingine yupo hapo juu kashajitokeza

Ndio maana nimeenda direct kumuuliza Kama alifanyiwa huo ufirauni ,

Halafu wote Ni Chelsea fans ndio huwa wanasema hivo

So inabidi kwenda nao hivo hivo kiulalo ulalo huku tunasubiri washushwe daraja
 
Umenisahau na mm mkuu
...huwa nna ustaarabu sana ila napenda kubishana
wewe ni mbishi haswaaa ila ubishi wako ni ule wa uchawa uliopitiliza kwa masingeli pamoja na utani wa jadi.
Kwenye majibizano ya wenyewe kwa wenyewe yale ya kutoleana maneno machafu na kuvunjiana heshima hua unajiweka mbali.
Mpira ni burudani(furaha) sasa pale unapoona burudani inageuka kua tafrani na karaha kwa matusi na dharau ni bora kukaa pembeni.
 
Ballon d'Or:

Bukayo Saka - 24th
Martin Odegaard - 28th

Yashin Trophy:

Aaron Ramsdale - 8th

Women’s Ballon d’Or:

Amanda Ilestedt - 15th
Katie McCabe - 22nd

#AFC #Arsenal #BallonDor   
 
Unaona Sasa unamuita mwenzio chawa kisa hakubaliani na mawazo yenu

Mimi Ni Paroko ,ukiona natukana umeeenda mbali Sana


Sasa huyo mkohoti huwa anasema Ben White aliondoka NT sababu Ni firauni ,sio Mara moja,mtu Kama huyo inabidi ajibiwe kiulaloulalo .

Mimi nashinda jukwaa la manjesta Sana ,huwez kuta natukana hata jukwaa Lao la Chelsea ,kwani nan asiyejua James wa Chelsea Ni shoga.
 
Masingeli kuna comments nyingine mtu ukiziona unakausha tu na ikiwezekana una like kabisa, kuna watu humu huwa wananitukana halafu mimi nawagongea like kisha nawakaushia tu, mwisho wa siku yeye mwenyewe anajiona mjinga, ila nikitaka kubishana nae jua ndio natanua wigo wa yeye kuendelea kutukana.
Kuna mambo mengine unatumia busara tu ya kuachana nayo ili yasiendelee kupata promo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…