arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Mechi za kombe la Dunia ziliwadanganya watu...There's a reason no big club was interested with Amrabat despite being available for 21m only
Wakipunguza kulia Kule unyumbuni, tuwaamshe na hiiThere's a reason no big club was interested with Amrabat despite being available for 21m only
Mechi za kombe la Dunia ziliwadanganya watu...
Huo muda sina, leo nlitaka nikuoneshe kuwa wewe ni juha afu huna unachojua. Nilishakwambia huwa sipotezi muda na nguvu kubishana na mjinga, sasa nataka nikuoneshe muda unamfunza vipi mjinga. Siwezi kuwa na obsession na wewe choko kwa kipi hasa, nakufunza next time uache uchoko. Yani unaandika km unajua afu hujui, leo nlitaka nikupe ushahidi wa ujinga wakoEndelea kunifuatilia bob usichoke. Hifadhi mafile yangu kwenye kijiwe chako nifanye kua topic. Ukikaa na mke wako/ mume wako acha niwe mada kuu.
Usiku ukikosa usingizi, ingia JF search nyuzi zangu zisome. Ingia hili jukwaa endelea kutafuta mafile mengine.
Be obsessed with me, ukiona post yangu changamka kuiscreenshot, kuza obsession mtoto wako muite Castr.
Na siku ikifika ukishindwa kuvumilia tangaza mtaani kwenu kwamba kuna mwanaume mmoja humjui hata sura ila una mafile yake.
😂 Unajitahidi unishushe kwenye level yako ya matusi siyo? 😂😂Huo muda sina, leo nlitaka nikuoneshe kuwa wewe ni juha afu huna unachojua. Nilishakwambia huwa sipotezi muda na nguvu kubishana na mjinga, sasa nataka nikuoneshe muda unamfunza vipi mjinga. Siwezi kuwa na obsession na wewe choko kwa kipi hasa, nakufunza next time uache uchoko. Yani unaandika km unajua afu hujui, leo nlitaka nikupe ushahidi wa ujinga wako
Unamkosea heshima ole gunarName: Ten Hag
Hype: Klopp
Hair cut: Pep Gurdiola
Expectations: Sir Alex Ferguson
Attitude: Mourinho
Reality: Ole gunnar solskajar
Kweli Kaka ,shukran kwa kuweka Hali sawa
Mimi naona middle ndio kuna shida, ukizingatia partey na majeraha ya kujirudiaArsenal wanataka kumsajili beki wa kati wa Crystal Palace Marc Guehi, kwa mujibu wa @TheSunFootball.
Lakini inadaiwa kuwa mchezaji huyo wa raia wa Uingereza hatokuwa sokoni hadi dirisha kubwa la usajili.
Mikel Arteta anahitaji kuimarisha safu ya ulinzi, unalionaje hili?
Huyo dogo ni Fundi Sana,anaelekea Bayern huyo ,Musiala amegoma kusaini anataka aende Madrid
Florian anajua Sana alipata ACL akakaa miezi 8 nje ndio amerudi
Halafu Alonso anafundisha modern football,anaenda Madrid ,Don Carlo akienda Brazil NT
Partey na Jorginho replacement zao had summer , January tunahitaji Winger mmoja na beki mmoja inatoshaMimi naona middle ndio kuna shida, ukizingatia partey na majeraha ya kujirudia
Kuna mtu humu alisema zubimeida ni partey mweusi au bosquet
Pia Fofona nae ameibuka hivi karibu huyu tunaambiwa ni partey na Yaya Toure
Profile moja hapa itue Gunner.
Kuanzia January Hadi may tutatafutana uchawi wenyewe kwa wenyewePartey na Jorginho replacement zao had summer , January tunahitaji Winger mmoja na beki mmoja inatosha