zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,909
- 36,854
Najua mkuu kaangalie post zangu za last season nilisema kabisa hatuwezi shinda title sababu tuna squad depth ndogo hivyo akiumia beki mmoja tu msimu umeisha na ndio ilitokea pale Saliba alipoumia.nilivyokua najua unauelewa wa football kumbe unaogopa mchezaji kucheza saana ili asiumie duuh???
Mkuu kuna correlation kati ya minutes played na recurring injuries kaangalie Ansu Fati, Pedri, Wilshere, Dembele, Diaby, n.k hawakuwa managed vizuri kwenye dakika wanazocheza wakiwa vijana wadogo ikaua kabisa miguu yao. Hii ni fact wala sio maoni binafsi.Anaepaswa kucheza acheze na atoe A perfomance sio swala la kupumzishana kisa kuhofia kuumia
Training sio high intensity kama mechi unayopambana na rival ndio maana injuries za uwanjani ni nyingi kuliko kwenye training hii pia ni fact sio maoni yangu.Kama kuumia wachezaji wanaumia hata mazoezini