Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Me pia mara kadhaa nimewaza hili jambo especially kama Partey hayupo, Rice anarudi dimba la chini then Zinny aende LCM.

Namuona yuko lethal na kwa uzoefu wake kama defender atatupa more pressing advantage in case we loose possession.
Kabisa mkuu.
 
Mc anawaambia mikondoo yake Mardid na Bayern hamna kitu, huku kwenye ma group yao wamechukua point zote 9. Huku Arsenal yenye kitu ina point 6, mkiitwa mazwazwa mtakataa?
 
Mc anawaambia mikondoo yake Mardid na Bayern hamna kitu, huku kwenye ma group yao wamechukua point zote 9. Huku Arsenal yenye kitu ina point 6, mkiitwa mazwazwa mtakataa?
AKili za Hamis masingeli hizo.
 
Sema jamaa ana kipaji cha ushawishi. anakwambia Havertz anacheza mpira dunia ya sasa hakuna, wakati mi huwa namuona anarukaruka tu uwanjani. tulimshauri aanzishe kanisa.
Anaficha ukweli kuwa usajili wa Havert wamepigwa.

Anakwambia Havert ni mzee wa Aerial duel😄😄😄
 
Trust me na msimu huu wanatoka patupu, na msimu ujao kama kawaida atawashikia akili tena, na watajaa tena. Kiduara
Unahangaika na Arsenal duh

Wakati huo chelkenge hata ndoto zakuingia top 7 hauna

Unahangaika na timu ambayo ipo nafasi za juu

Tukisema mna matatizo ya akili tutakuwa tunaosea?
 
️ Understand Arsenal are planning talks with Amario Cozier-Duberry over a new deal in the next weeks/months as his contract will expire on 30th June 2024.

Discussions are currently ongoing.

Several Premier League & European clubs are interested, monitoring the situation.
 
Anaficha ukweli kuwa usajili wa Havert wamepigwa.

Anakwambia Havert ni mzee wa Aerial duel😄😄😄
Pale wamepgwa mchana kweupe, ndio mana Arteta ameshashtuka amuanzishi. Ila masingeli atakwambia Havertz amechangia upatikanaji wa goli hata kama mpira umeshapita kw watu wanne kabla ya goli😂😂😂
 
Arsenal haven't lost a Premier League home game to a promoted side since November 2010 - a run of 36 games without defeat. (31 wins, 5 draws)

One of the teams who earned a point in that run was Sheffield United in January 2020.
 
Gabriel Jesus to undergo a scan today as Arsenal seek to learn the extent of his hamstring injury.

The Brazilian said after the game that he was confident the injury was nothing serious but he is a doubt for Saturday’s game. [@sr_collings] #afc
 
Unahangaika na Arsenal duh

Wakati huo chelkenge hata ndoto zakuingia top 7 hauna

Unahangaika na timu ambayo ipo nafasi za juu

Tukisema mna matatizo ya akili tutakuwa tunaosea?
Upo nafasi ya juu lakini mwisho wa msimu wote tunatoka patupu. Unawakimbia mikondoo yako,unaicha zikihangaika.
Kuna kila dalili naweza kumaliza juu yako.
 


Seven Arsenal games have been moved during the festive period this year:

5/12 Luton (A) - 8:15, Amazon Prime.
9/12 Aston Villa (A) - 5:30, Sky Sports.
17/12 Brighton (H) - 2:00.
23/12 Liverpool (A) - 5:30, Sky Sports.
28/12 West Ham (H) - 8:15, Amazon Prime.
31/12 Fulham (A) - 2:00, Sky Sports.
20/1 Crystal Palace (H) - 12:30, TNT Sport.

#AFC #Arsenal #PremierLeague
 
Upo nafasi ya juu lakini mwisho wa msimu wote tunatoka patupu. Unawakimbia mikondoo yako,unaicha zikihangaika.
Kuna kila dalili naweza kumaliza juu yako.
Usijilinganishe na Arsenal ,tayari Nina kikombe kabatini ,au hujui hilo

Wewe unagombea kushuka daraja ,hata kucheza conference huwezi kupata hiyo nafasi

Kwa ratiba yenu ilivo baada ya mechi 8 mtakuwa mnapambana na kina Luton Nani abaki kwenye Ligi

Nakushangaa unabwabwaja humu

Weekend hii tu ukijitahid sana Sare
 
Upo nafasi ya juu lakini mwisho wa msimu wote tunatoka patupu. Unawakimbia mikondoo yako,unaicha zikihangaika.
Kuna kila dalili naweza kumaliza juu yako.
Utamaliza juu ya Manunu ukijitutumua😀😀😀...tena ni nafasi ya 8....Huna uwezo wa kuishusha Nyukesto...Aston villa wala Brighton pale juu...sasa jumlisha na wale wanne wa juu pale...unapata saba...hzo nafasi 7 hugusi...ww ni 8 au 9 kabisa...unabisha...haka karatiba kenu katawapa majibu vzuri....mkijitahidi mtapata points 4 kwny hzo mechi....bdo mnajitafuta sana ndugu zetu....
 
Unajibishana na mtu ambaye kiwanja Chao cha nyumbani ni kama kiwanja chetu cha mazoezi...kila tukienda tunaondoka points...sasa hyo ni wa kupigizana naye kelele...bora Flano aje kujaza nzi hmu sio hyu
 
Mc anawaambia mikondoo yake Mardid na Bayern hamna kitu, huku kwenye ma group yao wamechukua point zote 9. Huku Arsenal yenye kitu ina point 6, mkiitwa mazwazwa mtakataa
🎷🎷Masingeli wamempenda wenyewee
🎺🎺Acha awafunge kamba eeeeh
🎸🎸Ndii ndiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…