Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ligi ikichukuliwa na Timu hii ya kibwege itakuwa imenajisiwa , na sisi hatuwezi kulikubali hilo litokee. Chelsea piga haoooooo.
 
Haitakuwa mara ya kwanza kufungwa na Chelsea na haitakuwa mara ya mwisho kumfunga chelsea.whatever result
 
Nimesema mpaka kuombea poo leo , hatucheki na kima leo
Mtalala na viatu , mmeyakanyaga leo
Leo Marastafali kazi yenu ni moja tu ya kuwavutisha Arsenyani bange.
Hawa kima wanatakiwa leo wamalize misokoto mitatu ili warembue vizuri.
Nmefurahi sana Mudryk alivyowagonga maana walikua wanamuandama sana, sasa hivi Masingeli atafunga bakuli lake la kumsimanga mtoto wa Zelensky.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…