Baada ya makonzi tutakayowapa siku hiyo tutaona kama watakuwa na uvumilivu kama wa Flano kujileta humu na kukubali matokeo au watajificha kwny mahandaki huko wakiugulia maumivu🤠🤠🤠Chelkenge wanaongea kama vile jumamosi ni miezi sita ijayo, kumbe ni kesho kutwa tu hapa....
Chelkenge wanaongea kama vile jumamosi ni miezi sita ijayo, kumbe ni kesho kutwa tu hapa....
Kumbukumbu:
Msimu wa 1990-1991 Arsenal alichukua ubingwa Kwa kupoteza mechi moja tu. Enzi hizo chini ya George graham. Tulikuwa tunaanza kuonja u-invincible sema ikawa kinyume chake na tukaanza kuporomoka zaidi.
Enzi hizo tuna wachezaji walevi na mateja kama Tony Adams na Paul Merson. Kocha wetu naye alibidi atimuliwe kwa sababu ya ufisadi. Jamaa alichukua chake chini ya meza katika sajili za wachezaji ( kama afanyavyo 7hag saivi).
Pia 1994, Arsenal ilibeba kombe lake la kwanza na la mwisho la UEFA Cup Winners' Cup, kabla ya shindano hili kumeza na UEFA Cup aka Europa Cup.
Kumbukumbu:
Msimu wa 1990-1991 Arsenal alichukua ubingwa Kwa kupoteza mechi moja tu. Enzi hizo chini ya George graham. Tulikuwa tunaanza kuonja u-invincible sema ikawa kinyume chake na tukaanza kuporomoka zaidi.
Enzi hizo tuna wachezaji walevi na mateja kama Tony Adams na Paul Merson. Kocha wetu naye alibidi atimuliwe kwa sababu ya ufisadi. Jamaa alichukua chake chini ya meza katika sajili za wachezaji ( kama afanyavyo 7hag saivi).
Pia 1994, Arsenal ilibeba kombe lake la kwanza na la mwisho la UEFA Cup Winners' Cup, kabla ya shindano hili kumeza na UEFA Cup aka Europa Cup.
Hawa jamaa hawajui kabisa wanakutana na timu ya aina gani wanadhani tunatoa vipigo kwa kubahatishaChelsea yupo home alafu kapewa 3
Arsenal kapewa odd 2,
Unachotakiwa kufanya, tia 1M arsenal win
alafu kaa kaunta anzisha fujo, piga wahudumu makofi
Ikiwezekana waambie wote nje, unataka utulivu wa kuangalia mpira
Bill payed after 90mins View attachment 2786469
Baada ya mapumziko, wanaweza wasirudi uwanjaniHawa jamaa hawajui kabisa wanakutana na timu ya aina gani wanadhani tunatoa vipigo kwa kubahatisha
Mbaya zaidi wanakutana na best Trio Midfield in the world
Hapa unapata Radha zote
Ufundi,tackling, athleticism,chance creation,high passing ability, press resistance, View attachment 2786595
Tuliza mhaho huo,Mpira haujawahi kuwa rahisi hivyo kama unavyotaka kuaminisha humu,just respect yourselfChelsea yupo home alafu kapewa 3
Arsenal kapewa odd 2,
Unachotakiwa kufanya, tia 1M arsenal win
alafu kaa kaunta anzisha fujo, piga wahudumu makofi
Ikiwezekana waambie wote nje, unataka utulivu wa kuangalia mpira
Bill payed after 90mins View attachment 2786469
Ungeingia kwenye site za betting uwaambie kwanini wanawafanya Kama underdog wakati mpo nyumbani?Tuliza mhaho huo,Mpira haujawahi kuwa rahisi hivyo kama unavyotaka kuaminisha humu,just respect yourself