Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mohamed Elneny:

"I’m working really hard like always and trying to go back into the first XI for Arsenal. For sure, it’s my goal this year.

I know I’m coming back from a long injury and this is what I’m doing in the training ground; fighting, fighting to come back." [Standard]
 
GABRIEL TEODORO MARTINELLI


Mikimbio yake na ubora wake mbele goli unanikumbusha Sanchez upande ule wa kushoto ,bila shaka baada ya Sanchez hakuna mchezaji aliyefit vizuri nafasi mpaka ujio wa bwana wa Teodoro.

Show zake si za kitoto Trent na Reece James wanaelewa mziki ambao huwa wanakutana nao kila Mara wakikutana na martinelli bila kusahau goli lake dhidi ya Chelsea huku kante akiangusha kama gunia katika ubora wake.

Alianza kutumika kama striker lakini ubora wake umeonekana zaidi akicheza akitokea pembeni chini ya arteta ambapo msimu uliyoisha alimaliza na magoli 15 akiwa sawa na firmino kwenye record ya wabrazil wenye magoli mengi ya ligi kwa msimu mmoja.
 
Declan Rice on why he chose Arsenal over Man City and other clubs:

"I have to say the manager (Arteta). The moment I met him I knew he was the one I wanted to take care of next part of my career.

The way he spoke, his aura, the way he sees the game." [Channel4]
 
 
We unamuongelea City champions league umesahau kuwa Lens kakupasua 2 na ukuta wako huo unaousifia kila siku?
Ki msingi ile man city ilikuwa kilema na mliingia kwenye ule mchezo kwa kupania sana ili kuthibitisha jambo of which limewasaidia kuwapa morali.
Masingeli unajisahau sana.
 
Bongo vipaji viingi sana vinapotea.
 
Huyo Lens uliangalia mpira ?una uhakika Lens akija Emirates ,ukiweka agregate atatoboa

Hatusemi hatufungwi ,hata Ac Milan 2007 alipigwa na Lens

Hata Madrid ya Zidane ilifungwa na Timu dhaifu ya kina Peter Banda aliyefeli Simba

Kama unajiamini, weka laki hapa lens akija Emirates anakula 3+


Eti mancity alikuwa kilema ,nimembutua Mara 2 msimu huu ,

Nyie kila siku mnasema Wana kikos kipana Leo unasema walikuwa vilema

Mashabiki wa manjesta lini mtakuwa na akili ?


Walikuwa na Rodri ,Kdb tuliwapakisha Basi wakatema bungo ,au mnajisahaulisha
 
“One thing is for sure, Arsenal are a better team than they was last year because of Declan Rice.”

Tim Sherwood says Arsenal have a better chance of winning the Premier League this season because of Declan Rice and he could be the difference for them.
 
Moja ya Dharau wanafanya mashabiki wa Chelsea mitandaoni na kwenye platforms zao wanadai Levi Colwill Ni zaidi ya Gabriel Magalhaes

Levi Colwill hajafikisha hata mechi 20+ za EPL

Hajafikisha dakika zaidi ya 2000


Huyu Levi Colwill anacheza LCB ,wanamtumia Kama LB

Atakutana na Saka ,dharau Kama hizi zitajibiwa Jumamos
 
Real Madrid 1-2 Sheriff Tiraspol (Sep 28, 2021)
 
Mkuu unajua kupiga spana
Unatembea na fact mwanzo mwisho

Inajulikana city anakikosi kipana, Ila alivyobamizwa na arsenal tu wanaanza kugeuza maneno
 
Mkuu unajua kupiga spana
Unatembea na fact mwanzo mwisho

Inajulikana city anakikosi kipana, Ila alivyobamizwa na arsenal tu wanaanza kugeuza maneno
Mashabiki wa manjesta hawawez kuelewa mpira wao wamezoea Pass moja kwa Bruno amtafute Rashford wapate goli

Ukiwaambia mambo ya double pivot,half space, lone DM,lone Striker ,inverting,overload ,pressing ,wanaona unawakejeli
 
Niliwahi sema timu nyingi kule UCL Ni unga unga mwana ,Kuna Kenge zilinibishia Sana

Leo Bayern anamvizia free agent Sokratis aliyeachwa Arsenal

Huko UCL Ndio Kuna kina manjesta ambao wakicheza na baryen wanapaki basi
 
Mkuu unajua kupiga spana
Unatembea na fact mwanzo mwisho

Inajulikana city anakikosi kipana, Ila alivyobamizwa na arsenal tu wanaanza kugeuza maneno

I am still surprised why City let Gundogan go? Not sure if city have already found his replacement. Yule bwana alikuwa anawabeba sana city kwenye critical moments.
His void will be felt this season
 
I am still surprised why City let Gundogan go? Not sure if city have already found his replacement. Yule bwana alikuwa anawabeba sana city kwenye critical moments.
His void will be felt this season
Mimi pia humu niliwai kusema nguvu ya city ni gundogan, kdb, bernado

Gundogan amesepa zake
Bernado pia alikua anahusishwa kuondoka

Haaland ni mzululaji mzuri timu ikikamatwa, sio mchezaji ambae anaweza akapindua meza
Mara kadhaa tumeshuhudia Hilo

Ata wakisema city na arsenal warudiane city ndio atarusha kitaulo uwanjani
 
Game na kenge, Kai atatokea bench
Arteta anajua kucheza na hiz mind games

Kai anaingia wameshaloa kamba 3,
uwanja umeinama
Watoto mchele mchele wanapelekewa Moto View attachment 2783738
Hao viazi tutamkadhi Ghalladog na Caicedo wawaminye mpaka waite maji mma , ni kula viatu na mbata za kutosha , hasa huyo Thomas/ kiwete mzee aliyedanganya umri
 
I am still surprised why City let Gundogan go? Not sure if city have already found his replacement. Yule bwana alikuwa anawabeba sana city kwenye critical moments.
His void will be felt this season
Mkuu hili Jambo tuliwahi ongea humu na Mkorea,wakati Ni vile watu wanakaza vichwa

Gundogan ,mahrez hawa walikuwa wanaokoa mechi muhimu

Kdb fitness itamsumbua tulisema humu ,

Bernardo as winger anakamatika kirahisi Sana ,coz sio pure and natural winger
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…