Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kevin Campbell

“We haven’t seen him(Declan Rice) enough besides Thomas Partey yet. But I think when those two play a number of games together they are just going to get better and better and better.”
 
Arsenal sporting director Edu Gaspar ametumia muda huu wa wiki mbili kutembelea klabu za Fluminense & Athletico Paranaense za huko Brazil ,

Edu pia ametembelea klabu za Corinthians & Palmeiras katika harakati za kusaka vipaji mbalimbali .
 
Points ngapi tunabeba hapa, mkorea

Arteta aweke full kikos , tunataka kuona WIN WIN WIN WIN

Dharau zimekuwa nyingi
 
@FabrizioRomano:


“Arsenal have been monitoring Pedro Neto for some time & I can also say that Arsenal always keep monitoring the same players they like - Aston Villa midfielder Douglas Luiz remains one of them. He’s always been appreciated.”
 
Points ngapi tunabeba hapa, mkorea

Arteta aweke full kikos , tunataka kuona WIN WIN WIN WIN

Dharau zimekuwa nyingi View attachment 2783510
Game ngumu hapo ni luton town ambayo tunaicheza nayo 5 December
Waliobaki wote FIMBO zinawahusu. Yan goal 2+

Westaham tutamfunga ila kitachafuka Sana, coz ni derby

Newcastle anaweza akala mkono, hili ni kama tawi letu kwenye kukusanya maokoto ya points

Kenge sioni sababu ya kutaka kuingiza team uwanjani. Watupe Ushindi wa mezani tu ili kuepuka dhahama
 
Dah! Wachezaji wa kiafrika tunaongopa saana umri, napiga hesabu jezi hii mwaka uliotoka na jinsi partey anavyooneka sura hiyo ni tayari miaka 25 hivi.



Hiyo jersey ninayo ni ya msimu wa 2011/12. Maana yake hapo alikuwa na 18yrs, watu wa West Africa huwa na maumbo makubwa ni sawa lakini ukitazama face yake inasuggest umri juu ya huo.

Inawezekana kabisa hata kina Arteta wamebaini hilo ndio maana pamoja na umuhimu wake bado unaona wanataka kumuachia.

Kama kweli yuko atleast 2yrs above current age ni ngumu kuepuka majeruhi ya mara kwa mara kwa level ya intensity ya mazoezi na mechi pamoja na high demands za kocha uwanjani. Labda ndio sababu pia Arteta anampa club doctor hata kwenye international duties.

Ndio maana, mara nyingi me huwa ni mzito sana kuquestion maamuzi ya watu ambao ni full time professionals (Arteta et al) na wanafanya kazi week in week out na hawa watu.

Kuna a lot of details ambazo ni undisclosed zinazo tumika kufikia maamuzi husika, sisi kama mashabiki mara nyingi tunaona mechi live na picha za mazoezini ila mengi ya ndani hatuna taarifa za kutosha.
 

Hizi ni assumptions ambazo unaweza shindwa ku-defend. Ina maana Jesus, Martineli, Tierney Vieira wanaoumia mara kwa mara nao ni kwa sababu ya umri.
Kwanini Mesi na Ronaldo hawaumii mara kwa mara?
Mere unproven assumptions
 
Daaah mkorea
.
Yan game ngumu ni luton
 
Hizi ni assumptions ambazo unaweza shindwa ku-defend. Ina maana Jesus, Martineli, Tierney Vieira wanaoumia mara kwa mara nao ni kwa sababu ya umri.
Kwanini Mesi na Ronaldo hawaumii mara kwa mara?
Mere unproven assumptions
Jesus amekuja kuumia Arsenal jeraha la goti na akatibiwa kwa surgery ili lisijirudie ,juz hapa walisafisha pale pale

Martinelli alipofika arsenal aliumia injury kubwa akatibiwa akapona ,amecheza muda mrefu bila injury had juz hapa akapata hamstring ndogo tu

Vieira nadhan kashapona lakin alikuwa anakosa fitness

Tierny huyu Ni injury prone,nakumbuka tulimnunua akiwa injury prone

But wachezaji wa Africa wanashindwa kutibiwa vzr wapone kabisa sababu hawasemi ukweli,
 
Sahihi kabisa, kwa soka la partey kama ingekuwa si kupiga fix umri wake, hana mpinzani pale, lakini ndio hivyo akili inataka, Mwili unagoma.
Mazoezi makali(mvua inanyesha, pabovu panaonekana) 🤣
 
Anadharau sana huyu pimbi ,tutamnyoosha humu na kwa aibu kubwa hatochangia tena kwenye hili jukwaa hadi mwaka uishe .
Chelsea chama la wana ,Chama kubwa London , England na dunia nzima
, yan nacheka kama mazuri ila lijamaa kama limeziweka timu kama chelsea chini ya Luton lazima ukeleke sana kama shabiki ya chelsea
 
Unaweza kuta kaongopa hata mi5.
Mwaka fulani tulipata nafasi timu fulani premier league kwa kigezo cha U17, ila mie nilikuwa bize na masomo nishafikisha 22 sikuhangaikia sababu ya masomo, ila jamaa yangu alikuwa mkubwa zaidi yangu akarudisha miaka nyuma na akaenda kukipiga fresh tu. 🤣

Watu weusi umri tunadanganya mnooo., We angalia mzize eti ndio ana 20, kina essien miili ikawa ina pancha daily 🤣.
Lazio kuna kijeba kimoja cha nigeria kiliongopa umri, nimekisahau jina kile.🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…