Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mwanangu wa nguvu, mtu hatari.
 
Mie wanangu partey, jesus, saliba.. wateja hawa sina haja ya kwenda mahakamani, naweza shinda kesi kupitia video call tu,
 
Arsenal's defensive lineup is packed with young talents:

William Saliba, Gabriel Magalhaes, Ben White, Alex Zinchenko, Jurrien Timber, Takehiro Tomiyasu, and Jakub Kiwior – all under 26!

The future is bright for the Gunners' defense.
#Arsenal
 
Arsenal Player of the Month winners so far this season:

August: Declan Rice
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
September: Bukayo Saka
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

#afc
 
Nimemsikia huko zenzychenko anahojiwa akaulizwa kati ya partey na rodri nani mkali akasema partey Rio akataka kubisha,amemtolea analysis nzuri sana,amesema rodri ni mchezaji wa system wakati partey ni mchezaji mwenye quality anafit kokote,akamwambia Rio kama anabisha aje amtazame Partey wakiwa mazoezini
 
Nimeona hiyo interview ,pia wakati Partey na Rodri wapo Atletico ,Rodri alikuwa haanzi mbele ya Partey.
 
Guardiola:

"Arsenal wana kocha mzuri atakayedumu kwa miaka mingi na anaipenda sana klabu yake".

"Mafanikio yote aliyonayo ni ya kwake na klabu yake, sio mimi. Watu wengi wanasema Arteta alikuwa na Pep na alijifunza mengi Lakini mimi Niamini nilijifunza pia mengi kutoka kwake".

 
Octopus yule jamaa ni mido kweli kweli

Katika pass 7 maybe mbili ndio back pass
Anaweza kucheza tough na soft touches

Nilishawai kuandika, Kama unataka uone ubora wa martinel, saka, odegard
Basi mtu mweusi partey akae pale dimbani awafanyie kazi chafu
 
Arsenal kwakujua umuhimu wake huwa akisafiri ,anapewa daktari maalumu wa klabu awe nae

Arsenal physio Simon Murphy has travelled with Thomas Partey on international duty again.
 
hamis77 alifikiri Jorginho kaja ili Partey aondoke. Tukamwambia huyo jamaa ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…