Na siku tutakayokaa pale juu ya msimamo itabidi tuanze kutembea kwa makundi maana kuvamiwa na wenzetu ni jambo linalowezekana kabisaKila siku tunafungwa na City mnatuzomea.
Jana tumeshinda mnasema hatutafika mbali.
Tunashangilia ushindi wetu mnasema tunashangilia kama tumechukua ubingwa.
Mashabiki wa Arsenal tuwe na utaratibu wa kuomba dua usiku mana wachawi ni wengi😁
Ni washenzi Fulani hivi...FA wametuma madokta wakampime saka wahakikishe Kama kweli Ni injury ,wanahisi Arsenal wamedanganya ili apumzike
FA wanatarajia saka ajiunge na Timu ya Taifa
Hawataki apumzike kabisa wawe na huruma Basi
Mount, Sancho, rashford Hawa wote c wapo tu pale unyumbuni hawana kazi yoyote ya maanaFA wametuma madokta wakampime saka wahakikishe Kama kweli Ni injury ,wanahisi Arsenal wamedanganya ili apumzike
FA wanatarajia saka ajiunge na Timu ya Taifa
Hawataki apumzike kabisa wawe na huruma Basi
Wawe wanawaambia na marefa wao wawe wanamlinda SasaNi washenzi Fulani hivi...
Nimeshangaa wamegoma kuiamini Arsenal ,Mount, Sancho, rashford Hawa wote c wapo tu pale unyumbuni hawana kazi yoyote ya maana
FA wamekuwa wapuuzi sana, Kama tunakomoana hivi
Halafu ukizingatia ni friend matches....yaani ni wapumbavu Fulani hivi...hzo mechi acheze fodenNimeshangaa wamegoma kuiamini Arsenal ,
Si wamuite hata mount tu
Si anaweza akatumika kama winger vilevileHalafu ukizingatia ni friend matches....yaani ni wapumbavu Fulani hivi...hzo mechi acheze foden
Kuna yule foward wa Ac milan naye ana hatariHuyo dogo nilikuwa natumia had jina lake , but hatoshi kwa Arsenal hii ,
Soon watu wanaingia sokoni ,Kuna CF wa Fayernood yupo kwa list ,Kuna Toney ,Victor Osmhen
Mechi kama ile na Spurs ndio nilimchoka ,akipotea pale mbele Hana msaada Tena
Spurs wamempoteza Salah na wenzake pale mbele, Rashford na wenzake,Huyo dogo nilikuwa natumia had jina lake , but hatoshi kwa Arsenal hii ,
Soon watu wanaingia sokoni ,Kuna CF wa Fayernood yupo kwa list ,Kuna Toney ,Victor Osmhen
Mechi kama ile na Spurs ndio nilimchoka ,akipotea pale mbele Hana msaada Tena
Fala weweNa siku tutakayokaa pale juu ya msimamo itabidi tuanze kutembea kwa makundi maana kuvamiwa na wenzetu ni jambo linalowezekana kabisa
Tatizo la nketiah akishapotea , Basi Hana msaada mwingineSpurs wamempoteza Salah na wenzake pale mbele, Rashford na wenzake,
Wenge la back to back defeats...Mpira ulivyoisha wachezaji wa City wakataka kuanzisha ugomvi.