Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,102
- 3,180
Masingeli ni next level yule, hili jukwaa ameligeuza kama kanisa la upako aiseeeee, hata akianza kuchangisha sadaka humu kuna mikondoo hata kama haina hela itaenda kukopa ili impelekee Masingeli. View attachment 2773028
Nilitoa Mtihan humu , Kama unajiweza weka laki 1 na Mimi laki 1Masingeli ni next level yule, hili jukwaa ameligeuza kama kanisa la upako aiseeeee, hata akianza kuchangisha sadaka humu kuna mikondoo hata kama haina hela itaenda kukopa ili impelekee Masingeli. View attachment 2773028
Wewe una mdomo Sana na hapo kenge fc mpo nafasi ya 12Wenye supa kompyuta naomba watuangalizie City watakula goli ngapi, Havertz atapata penat y kufunga tena?
Hii inawasaidiaje kuwapunguzia machungu ya vipigo manjesta?Sasa kusema LUTON TOWN na ARSENAL wako na the same number of CHAMPIONS LEAGUE titles makosa iko wapi? Afande!!View attachment 2772871
Nilitoa Mtihan humu , Kama unajiweza weka laki 1 na Mimi laki 1
Tusipomaliza na points 12-15 na kuongoza kundi unakuwa umeshinda ,Cha ajabu unatafuta comment zangu kupata ahueni baada ya manjesta kuwa inakula vipigo
Je hii itapunguza maumivu ya vipigo ambavyo manjesta ataendelea kuvipata?
Masingeli anakwambia Kai ni mnyumbulifu sio kama Xhaka halafu pia Kai anaiongezea Asenyo kitu kwenye kuwin aerial duel, pia Kai yuko vizuri kwenye positional interchange.Nikiangalia XHAKA anavyokiwasha pale Leverkusen halafu eti Arteta akamuacha na kumleta Kai naamini ule usemi usemao unaweza ukaruka MKOJO na kukanyaga MAVI
Tena mimi namshauri aanzishe group la whatsapp kujiunga iwe Tsh 10,000, awe anafanya uchambuzi na kutupa taarifa. Hamis77 ni MCHAMBUZI NGULI utake usitake😁😁Masingeli ni next level yule, hili jukwaa ameligeuza kama kanisa la upako aiseeeee, hata akianza kuchangisha sadaka humu kuna mikondoo hata kama haina hela itaenda kukopa ili impelekee Masingeli. View attachment 2773028
Kaka kuendelea kulaumu yaliyopita ni kosa kubwa, tusonge mbele hamna namna😀Nikiangalia XHAKA anavyokiwasha pale Leverkusen halafu eti Arteta akamuacha na kumleta Kai naamini ule usemi usemao unaweza ukaruka MKOJO na kukanyaga MAVI
Tena mimi namshauri aanzishe group la whatsapp kujiunga iwe Tsh 10,000, awe anafanya uchambuzi na kutupa taarifa. Hamis77 ni MCAHMBUZI NGULI utake usitake
Real talk Bro, Mchambuzi Nguli mtu muhimu sana humu. Bila yeye Kai angekua keshafukuzwa😀😀Masingeli ana leseni yake ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi.
Mimi mwenyewe hua namkubali sana Masingeli, bila ya yeye hili jukwaa lingepoa sana.
Kuna sehemu nimesema hatutafungwa?Shida sio kumaliza na 12points, shida ni uliziaminisha Kondoo za humu kua hamtafungwa wala kutoa draw mpaka mtakapoongoza group kwa points 15 - 18 halafu ukawaambia kabisa kua ni Uhakika.
Juzi mlivyogongwa na Lens mlikua na points ngapi?
Masingeli nakukumbusha tu hii ni Uefa ndugu yangu, haya sio mashindano ya FA wala Emirates cup, timu zote unazoziona humu ni ile cream iliyochujwa vizuri kutoka kwenye ligi mbalimbali za ulaya, ukija na matokeo yako ya mfukoni utaishia kujipiga ban tu mwenyewe. View attachment 2773148
Tema mate chini6 na 8 yupo anko Tom na Rice
Odegard juu yao anachezesha timu
Zinchenko anakuja Ku-overload midfielders
Saka na martinel wanatanua uwanja
Kama mbwai ni mbwai tuTema mate chini
Kuna 80% saka atakuwepo, pia Leo jion tutajua Kama Nelli atakuwepoKama mbwai ni mbwai tu
100% Kenge lazima akutane na balaa hilo