Raya anacheza Kama beki wakatiKwa ninavyoona performance ya Raya, ni dhahiri Ramsdale anaenda kumuachia no. 1 spot.
Raya anatishia amani aisee, anapiga mipasi kama hana akili nzuri.
Huwa ananifurahisha zaidi akienda kucheza mipira ya juu.. nyiee!
View attachment 2767987
Nelson ana stahili kupata dakika 70 kwenye game kama izo,Jesus ana threat pia akicheza pembeni kama LW.
Uwezo wake wa kudribble, kuhold mipira na kuwapunguza mabeki nahisi ndio unamfanya Arteta ampe nafasi ya kutokea wide.
Nelson ni mzuri lakini kwa uwezo wake anahitaji aingie kwenye kikosi taratibu, japo Arteta hafanyi hivyo kwa Kai (jokes).
Ngoja tuendelee kumuona kwenye Carabao, a-prove kama anahitaji kuanza kikosi cha kwanza.
Hapa Arteta alikua unampanga awe anatoka nje ya dimba ili kuongeza namba ya wachezaji kwenye build up.
Zikawa zinapigwa sambusa tu!
View attachment 2768349
Nilifikiri ana miaka 29 kumbe ni 27, sio mbaya sana but soon atashuka kwenye peak yake.hamis77 huyu dogo Niki mkubali kipindi kile Katoka championship.
👉Hapa Villa wata piga pesaa kubwa😀🤒
View attachment 2768354
Ila wabongo kwa ujuaji😀🤣🤣, ashuke kiss nini???😀🙄🤔.Nilifikiri ana miaka 29 kumbe ni 27, sio mbaya sana but soon atashuka kwenye peak yake.
Yeah nimeona. Huwa nacheza sana fifa carrer mode, nakumbuka wakati nataka kumsajili alikua kwenye 30s na nilikua nina msimu mmoja au miwili.MalcolM XII hapo Ume tupiga kamba😀🤣🤣, watknis Hana miaka 29.
👉 Ana miaka 27 mzee
I didn't want to offend anyone.. kwa ninavyoona, now days kwenye umri wa miaka 27 kwa straika unategemea awe amesha hit the peak.Ila wabongo kwa ujuaji😀🤣🤣, ashuke kiss nini???😀🙄🤔.
👉Where do you get the guts, to determine someone future??
👉 I mean no malice to nobody 🙏I didn't want to offend anyone.. kwa ninavyoona, now days kwenye umri wa miaka 27 kwa straika unategemea awe amesha hit the peak.
Ni kama ulivyowaona wakina Zlatan, Kane, Tevez, n.k. though kuna some exceptions.
So kama ni kusajiliwa na timu kubwa anaweza ila sio kwa pesa ndefu kulingana na umri wake na level ya soka aliyofikia.
I may be wrong by the way so unaweza kunirekebisha.
Mkuu kwa hesabu za harakaharaka msimu huu mkifungwa gemu chache basi zitakuwa 10 maana yake point 30 zinaondoka hzo....Sasa jumlisha na droo mtakazopata...nyny mnaingia rasmi kwny group la watoto wadogo...levo za ukubwa jinga mshapita...Sasa mpo kwny watoto wadogo...pambaneni Nyukesto wasiwaache huko kwny levo za watoto wadogo🤠🤠Ligi ina mechi 38 na ndio kwanza tumecheza mechi 7 tu, kwenye hizo mechi 31 tegemeeni surprise za kutosha.
Ligi ndio kwanza mbichi, nyie endeleeni kupeana false hopes halafu mwisho wa msimu mkimbie jukwaa.
Mikel alimtaka mwanzoni ,kwasasa tuandae £100m iliyonyookahamis77 huyu dogo Niki mkubali kipindi kile Katoka championship.
Hapa Villa wata piga pesaa kubwa
View attachment 2768354
Kumbe 27? Sawa na kina ToneyNilifikiri ana miaka 29 kumbe ni 27, sio mbaya sana but soon atashuka kwenye peak yake.
Ramsdale muoga kucheza Kama Beki wa Kati tofaut na RayaHapa Arteta alikua unampanga awe anatoka nje ya dimba ili kuongeza namba ya wachezaji kwenye build up.
Zikawa zinapigwa sambusa tu!
View attachment 2768349
Kuna timu hazitaleta timu uwanjani.Ramsdale muoga kucheza Kama Beki wa Kati tofaut na Raya
Tuna mechi ngumu vs City ,ikipita hiyo , Partey anarejea , nataka Midfield ya Party Rice na Ødegaard kwenye mfumo huu 4-3-3 ,
Yule mwamba mpk mwakani mwezi wa tatu huko....angekuwepo Timber aisee mpk Sasa mechi ambayo tungekuwa tumeruhusu goli ni ile ya Tottenham....hzi nyngne isingetokea...maana tumefungwa kienyejienyeji sanaKuna timu hazitaleta timu uwanjani.
Akirudi na Timber ndo kabisaa watakubali yaishe watupe kombe letu.